China ina watu 1.4B, na wenye kipato cha kati ni zaidi ya 700mil, up hapo?
Nimesema hao wenye apps wazue zisiwekwe kwenye OS za kichina, afu nikatoa mfano samsung watakubali kutumia OS ambazo hazina hizo apps wakati tayari wanayo super os android yenye hizo apps? Soma na kuelewa basiUkiletewa huku simu hiyo hiyo ya china application ulizozizoea utazipata ila ukiwa kwao china utatumia application zao wa china unafikiri hawa wachina hawana akili
Ila simu ikiwa ndani ya china hata google map hutoipata
unafikiri application ikipigwa ban kwenye ardhi ya china na huku nako itakua haifanyi kazi na kutakua na access ambapo simu ikitoka nje ya china unapata kila kitu ila ukiwa ndani ya china unatumia applicationa zao tu na hutaziona hizo Twitter wala Facebook
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani samsung china hazitumiki?mbona zinatumika na google playstore haifanyi kazi kule sasa application wao wanatoa wapi wao wachina.Nimesema hao wenye apps wazue zisiwekwe kwenye OS za kichina, afu nikatoa mfano samsung watakubali kutumia OS ambazo hazina hizo apps wakati tayari wanayo super os android yenye hizo apps? Soma na kuelewa basi
Sent using Jamii Forums mobile app
China wana app zao wenyewe mkuu.Nimesema hao wenye apps wazue zisiwekwe kwenye OS za kichina, afu nikatoa mfano samsung watakubali kutumia OS ambazo hazina hizo apps wakati tayari wanayo super os android yenye hizo apps? Soma na kuelewa basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hazipo sasa hizo applications kule china wao wako comfortable na wechat zao na baidu yao.Kazi kweli kweli! Ushasema ilipigwa ban, ni kama vile leo jamii forum ipigwe ban huwezi kupost hapa utalazimika upost kwingine kama unataka kupost. Yaani ni kama vile ubwabwa upigwe ban utalazimika usiule hata kama unaupenda. Hadi hapa nadhani ushajua hujajibu hoja, haya basi jibu sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapeleka ya zamani na unapewa mpya.Ukiwa unamaanisha nini??
Toa hoja acha mambo ya kipumbavu na mahaba, huu uzi unahitaji akili nyingi sana, nafikiri wewe wewe ndo utakuwa wa kwanza kutoa vikoments vya aina hiyo. Uzi umekuzidi kimo huu bosi , kuwa mpole hatuendi kwa mahaba humu.
Ndio hazipo sasa hizo applications kule china wao wako comfortable na wechat zao na baidu yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona hapo eBay bei ya simu inategemea nayo imetokea wapi vile vile hapo tu hiyo 64 gb inasoma karibu 700 je hiyo ya gb 256 itakua bei gani mpaka ikifike kwetu huku?
Kwa mazingira yao wanaona sawa hao wachinaWamelazimika kutumia hizo za kwao sababu hawana uwezo wa kuaccess apps pendwa duniani. Mkuu nshakutolea hadi mifano. Elewa basi kwani nyama ikipigwa ban hapa bongo utasema watu wako confortable na kula dagaa harusini?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajitoshelea na soko la ndani.
Kwa nini uwe tegemezi?Ndo uone sasa tofauti ya us na china, wakati wachina wa apps zao wenyewe, wamarekani wana apps zinazokick worldwide hadi china kwenyewe. Mkuu hadi hapo haiitajiki elimu ya chuo kikuu kujua nani zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajitoshelea na soko la ndani.
Haina mbaya kuongeza wigo.Sasa baada ya US kuweka tozo mpya si angetulia sababu anajitosheleza! Ona sasa imebidi arekebishe baadhi ya sheria zake ili kumaliza soo na USA wakati anajitosheleza!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii biashara haitaki hasiraWakifika uko wanazima Android system kwa simu zote zinazotengenezwa na China
Apo ndio Vita lazima mchina achemke na hana operating system yoyote. Kwa iyo itakuwa aibu kubwa Sana kwa Chinese
Sent using Jamii Forums mobile app
Haina mbaya kuongeza wigo.
USA wakifanya vitu wao ni sawa tu ila sasa wakifanyiwa wao watakuja na sanctions zisizo mithirika.
Vuta picha labda russia au china ndio ingezivamia Iraq,Libya,syria
Au china ndio ingekua inataka kumtoa muduro wa Venezuela
Au labda russia aanze kujenga military base kule Cuba na Venezuela unafikiri ingekuwaje?
Ila yeye USA kupeleka wanajeshi kwenye mipaka ya russia anaona kawaida kabisa akija kufanyiwa yeye ata bwata kama mtoto dunia nzima utasikia Russia approach to latin america is entirely unprofessional and it is unacceptable
Sent using Jamii Forums mobile app