Huawei vs tecno (which is the best smart phone ?)

Huawei vs tecno (which is the best smart phone ?)

KCAMP,flagship ni nini,na ipo kwenye huawei za bei za kawaida? (y)
 
KCAMP,flagship ni nini,na ipo kwenye huawei za bei za kawaida? (y)

flagship ndio sura ya kampuni, ni simu inayotolewa kuonesha technology ya kampuni imefika wapi always inakuwa bei ghali
 
Ivi unajua techno anatengeneza simu za kuuza Africa tuu?hujui chochote wewe Techno level zake in Bird, itel n.k

Angalia rank ya February World's top 10 mobile phone companies- The Times of India

kaka tunaongelea quality ya smartphones znazotengenezwa na sio uuzaji wa mobile phones in general..! Top five smartphones zenye quality right now ni htc onem8,samsung s5,lg g3,sony experia z3, na iphone 6 na latest ya huawei ni mate 7 ambayo haiwez kucompete na hizo simu kuanzia mauzo hadi quality..
 
Na high end ni nini?

we jamaa una maswali mengi wakati ata simu yenyewe hujarudisha feedback kama umepata au?

Makampuni ya cm yanatengeneza simu kwa watu wa aina mbalimbali. Watumiaji heavy mid na hawa wa kawaida. Sasa High end ni zile simu zenye almost all features mfn Galaxy S4 au S5.
 
Mkuu secret by the end of this month nitaleta fbac,nina maswali mengi coz nataka kuwa na uwakika.but unafaa kuwa ticha
 
P6 ni high end phone, na p7 ndio flagship phone ya huawei kwa sa ivi hizo honor siyo

hebu google honor 6 halafu compare na hio p7 uone kama zinafanana, p7 kapitwa kila idara. hizi p series ni midrange zinaletwa tu huku dunia ya tatu na nchi ambazo wanapenda simu affordable.

na hio p6 imeachwa mbali na simu za bei rahisi za asus yaani zenfone.

sasa kama simu za bei rahisi za asus zinaipita p6 na we unaclaim p6 ni highend unakuwa unawadhalilisha huawei.
 
hebu google honor 6 halafu compare na hio p7 uone kama zinafanana, p7 kapitwa kila idara. hizi p series ni midrange zinaletwa tu huku dunia ya tatu na nchi ambazo wanapenda simu affordable.

na hio p6 imeachwa mbali na simu za bei rahisi za asus yaani zenfone.

sasa kama simu za bei rahisi za asus zinaipita p6 na we unaclaim p6 ni highend unakuwa unawadhalilisha huawei.

Kuiita P7 mid-range mi naona kama sio fair. Huawei kajitahidi sana kwenye P6 na P7 ndio zaidi. Ni bonge la flagship phone.

Mid-range za Huawei maybe hizi Ascend G series na Low-ends ni Y series kama y300s na y500s.

Kinachomata ni specifications, kuuzwa bei ndogo sio sababu ya kuiita Mid. Hiyo hiyo simu (P7) kwa specs na material hayo hayo angeitoa Samsung au Apple mngepigwa bei kubwa na mngesema "Damn, look at this amazing High End phone".. Tuwe wa kweli.


Kwa specs za 4G LTE, 5" 1080p 441ppi screen, 2GB RAM na internal ya 16GB expendable upto 64GB via MicroSD, 13MP na 8MP cameras, na Android OS, v4.4.2 (KitKat) with Chipset HiSilicon Kirin 910T, CPU Quad-core 1.8 GHz Cortex-A9 na GPU ya Mali-450MP4, nitabisha hadi kufa hii sio mid, ni High-End.
 
hebu google honor 6 halafu compare na hio p7 uone kama zinafanana, p7 kapitwa kila idara. hizi p series ni midrange zinaletwa tu huku dunia ya tatu na nchi ambazo wanapenda simu affordable.

na hio p6 imeachwa mbali na simu za bei rahisi za asus yaani zenfone.

sasa kama simu za bei rahisi za asus zinaipita p6 na we unaclaim p6 ni highend unakuwa unawadhalilisha huawei.

Mkuu P7 na P6 siyo midrange
 
kaka tunaongelea quality ya smartphones znazotengenezwa na sio uuzaji wa mobile phones in general..! Top five smartphones zenye quality right now ni htc onem8,samsung s5,lg g3,sony experia z3, na iphone 6 na latest ya huawei ni mate 7 ambayo haiwez kucompete na hizo simu kuanzia mauzo hadi quality..

Embu niambie HTC M8 imeizidi kitu gani huawei p7

Pixel density:
Huawei:445
HTC m8: 441

Camera
Huawei front:8mp, rear: 13mp
Htc m8: front: 5mp, rear: 4mp dual camera

Body material
Huawei: glass(scratch resistant)+aluminium

Htc m8: aluminium
 
Embu niambie HTC M8 imeizidi kitu gani huawei p7

Pixel density:
Huawei:445
HTC m8: 441

Camera
Huawei front:8mp, rear: 13mp
Htc m8: front: 5mp, rear: 4mp dual camera

Body material
Huawei: glass(scratch resistant)+aluminium

Htc m8: aluminium

Bei tu.
 
Kuiita P7 mid-range mi naona kama sio fair. Huawei kajitahidi sana kwenye P6 na P7 ndio zaidi. Ni bonge la flagship phone.

Mid-range za Huawei maybe hizi Ascend G series na Low-ends ni Y series kama y300s na y500s.

Kinachomata ni specifications, kuuzwa bei ndogo sio sababu ya kuiita Mid. Hiyo hiyo simu (P7) kwa specs na material hayo hayo angeitoa Samsung au Apple mngepigwa bei kubwa na mngesema "Damn, look at this amazing High End phone".. Tuwe wa kweli.


Kwa specs za 4G LTE, 5" 1080p 441ppi screen, 2GB RAM na internal ya 16GB expendable upto 64GB via MicroSD, 13MP na 8MP cameras, na Android OS, v4.4.2 (KitKat) with Chipset HiSilicon Kirin 910T, CPU Quad-core 1.8 GHz Cortex-A9 na GPU ya Mali-450MP4, nitabisha hadi kufa hii sio mid, ni High-End.

cortex a9 unajua imekuja na s2 na s3? na kwenye s3 ndo ilikuwa quadcore.

mali 450 ina small improvement kutoka mali 400 ya galaxy s3.


kuna some occasion hadi lumia 520 inaweza kuwa fasta kuliko p7 japo overall p7 itakuwa vizuri.

cpu na gpu hazipo katika highend class. na unapokuwa na cpu na gpu ndogo ukaongeza kioo kiwe 1080 basi unazidi kupunguza perfomance ya simu.
 
flagship ndio sura ya kampuni, ni simu inayotolewa kuonesha technology ya kampuni imefika wapi always inakuwa bei ghali
Mkuu, naomba kudandi uzi wa jamaa yetu. Mimi naomba kufahamu:
1)Nitajuaje kama simu(HTC One X) ina virus?
2)Ni njia gani iliyokuwa bora kuikinga simu hiyo na virus?
3)Kama tayari kuna virus, what is the best way to remove them(scan using pc or installing antivirus on the phone)?
4)Which one is the best antivirus for the same phone?
Samahani kwa maswali mengi ila ninaamini kuwa wewe na wengine kama C6 mmesaidia wengi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom