Yeah pia ziko na muonekano mzuri tofauti na HUAWEi ipo na ncha kaliunazungumzia uimara eeeh?
Hujui unachoongea!Huawei Ascend P7 au Mate7 Gallaxy S4 anakalishwa.
mkuu secret,bajet yangu ni kil.1 hadi 2 net haizid hapo.pia najari odondokaji wa simu(uimara) nina wasi wasi na huawei
Secret ishu sio plastic bwana,kudondosha nokia orignal na Huawei hawawezi kuwa sawa ingaw zote plastc
Simu zote ni nzuri, ila tu tecno amekuwa na jina baya kutokana na historia. Lakini kama bajeti yako ni nzuri nunua Huawei P6 kwa high end smart phone. Endapo ni mtu wa kuangusha angausha simu, nunua techno phantom.
nani kakwambia huawei p6 ni high end phone?
nani kakwambia huawei p6 ni high end phone?
Huawei ranks 3rd after Apple and Samsung
hahahah.. Huawei ranks 3rd..? Vp kuhusu LG,SONY na HTC?
Usizuzuke na majina were tafuta reports ya makampuni yanayofanya vizuri au inaidharau kwakuwa mnanunua hizo y - series
huawei ana compete na tecno ila hizo zingne haziwez hata ukiangalia best smartphones top 15 hana product hata moja ilioingia