Newbies
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 1,535
- 2,237
- Thread starter
- #61
Nikweli kakaKwa MTU ambaye hasomi vitabu tofauti na vya lecturer hawezi kuwa smart Kwa level kubwa.
Elimu Tz ni nadharia ambazo hazina mwelekeo hivyo lazima ujiongeze kuikuza career yako Kwa kusoma mambo tofauti na ya lecturer ili kuwa smart .
Hata hao HR hamna kitu