Habari wanajf natumia pc aina ya HP lakini naona kwenye batani kuna herufi nikizibonyeza zinatoa sauti alafu naweza nikabonyeza t ikaja hivi t" au y ikaja y[ naomben kujua shida nini? Au setting?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.