Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
mkuu jk wenu alishafanya mazungumzo na don bill gates, ktk mazungumzo yao alimuomba aisaidie tz kujenga udom, alienda google ktk mazungumzo na madon aliwaomba waisaidie tz kuconnect shule za msingi kwa internet, kuisaidia computers and other devices na si kuanzisha google center tz. sasa hapa kwa data nilizokupa unaweza ukahisi mwenyewe mazungumzo yalihusu nini kama si kuomba msaada wa kutujengea barabara,zahanati etc