Hivi nyie manokaa USA mmeshindwa kuwaambia hawa HP kuwa umeme wa kiwanda cha SIDO hatuna japo tuna mali ghafi zote za kuzalisha umeme...sasa iweje wao wanataka kuja kufungua kiwanda Tanzania ? Nchi imejaa wizi na urasimu uliotukuka
bora HP wakafungue kiwanda chao Msumbiji au Kenya au Rwanda
sisi bado maybe in the next 100 yrs...maybe