Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 10,484
- 19,989
''Wizara ya mambo ya nje waziri upo hapa haya na hili mkalitazameni huko wizarani''
Hizo ndio akili za watanzania wengiUnadhani kwanini watanzania tunajulikana kama wezi na wavivu? Ni kwa sababu ya kuwa na watu wa aina hiyo, kule wanasema mtanzania na anatuwakilisha watanzania kuwa ndio tabia yetu hiyo..
Sasa kama unaona ni jambo ambalo halina impact yoyote kwa taifa basi sawa
Mimi simu yangu aioneshi picha ila najibu kulingana na komenti za watu mimi hapo nashauri uyo mtoto aliye fanyiwa icho kitendo akimbizwe hospitali na huyo mtuhumiwa akamatwe afungwe kifungo cha maisha mana ataendelea kuharibu watoto wengine kama watamuacha huru












Kuna yule aliyekufa juzi kati sijui mushi kwa ajali Kuna huyu wote Wana kesi za ovyo ...Hwa watu ni vip kwani?
Sasa unadhan kupiga hela za UNDP ni kitu cha mchezo mchezo? Hii ni sifa mojawapo kwamba lazima uwe na akili sana kupiga hela za wenye akili.
We kaa kumjadil hapa like u gain anything.
Mnaacha kuwajadil wanaowaibia pesa zenu za kodi za kujenga vyoo na madarasa unamjadil anayeiba pesa za wazungu ambazo si jasho lako
Huwezi ukampa mtu ubalozi aliekua Miss, hakuna Miss mwenye Akili, ila kwasababu Watanzania hatupendagi ukweli na tunataka Wajinga ndio hayo.
Yaani Kenya wapeleke former Miss kwenye UN kweli?? Ambapo ndio kitovu cha Dunia
Anakutana na watu waliosoma Harvad, MIT, Cambridge etc wewe unaenda kuongea nao nn





kwan hoyce hajasoma? UwiiiihHuenda ikawa since na u miss wake alikuwa kacheroHuwezi ukampa mtu ubalozi aliekua Miss, hakuna Miss mwenye Akili, ila kwasababu Watanzania hatupendagi ukweli na tunataka Wajinga ndio hayo.
Yaani Kenya wapeleke former Miss kwenye UN kweli?? Ambapo ndio kitovu cha Dunia
Anakutana na watu waliosoma Harvad, MIT, Cambridge etc wewe unaenda kuongea nao nn
Form six Ndo Elimu yake nadhani na vikozi mshenzi mshenzi akaingia kwenye kusaidia watoto,akaolewaga na yule mbaba Mme WA mtu wa Zimbabwe sijui Zambia akaachika(hee huu Sasa umbea),Sasa hapa sijui yule bwana Ake au mmewe Ndo alimpigia cross pande huko UNDP but I think mmoja wa madanga yake Ndo alimfannyia ishu maana si alikua km mwanaharakati wa watoto so it was rahisi kupata kazi huko UNDP
Hii hatariForm six Ndo Elimu yake nadhani na vikozi mshenzi mshenzi akaingia kwenye kusaidia watoto,akaolewaga na yule mbaba Mme WA mtu wa Zimbabwe sijui Zambia akaachika(hee huu Sasa umbea),Sasa hapa sijui yule bwana Ake au mmewe Ndo alimpigia cross pande huko UNDP but I think mmoja wa madanga yake Ndo alimfannyia ishu maana si alikua km mwanaharakati wa watoto so it was rahisi kupata kazi huko UNDP
Ila mim alivyochaguliwa nilidoubt sema Ndo hvyo tena maana riziki mtoaji Mungu
Hoyce huyu kashawahi kulewa akaanza kutoa mitusi mizito Instagram yaani mizito we huwezi tamka,huyu hoyce alionesha racism live live kwenye miss Tanzania ya Richa adhia!!!
Sometimes Mange tunamuona shoti ila mange anawajua Hawa watu nje ndani maana they used to be in the same circle ya wadada wa mjinj
Sasa unamuonea huruma wakati nyumbani huku mama kampa shavu la uwakilishi tena?Hapa naomba nipite kimyakimya bila kusema chochote. Ila kama ni kweli yamemkuta, namuonea huruma sana huyu Dada kiubinadam.
Form six Ndo Elimu yake nadhani na vikozi mshenzi mshenzi akaingia kwenye kusaidia watoto,akaolewaga na yule mbaba Mme WA mtu wa Zimbabwe sijui Zambia akaachika(hee huu Sasa umbea),Sasa hapa sijui yule bwana Ake au mmewe Ndo alimpigia cross pande huko UNDP but I think mmoja wa madanga yake Ndo alimfannyia ishu maana si alikua km mwanaharakati wa watoto so it was rahisi kupata kazi huko UNDP
Ila mim alivyochaguliwa nilidoubt sema Ndo hvyo tena maana riziki mtoaji Mungu
Hoyce huyu kashawahi kulewa akaanza kutoa mitusi mizito Instagram yaani mizito we huwezi tamka,huyu hoyce alionesha racism live live kwenye miss Tanzania ya Richa adhia!!!
Sometimes Mange tunamuona shoti ila mange anawajua Hawa watu nje ndani maana they used to be in the same circle ya wadada wa mjinj
UNDP ni UN system hiyo hiyo ambayo yeye ndio mwakilishi msaidizi wa Tanzania huko Geneva.Undp wanna nongwa gani Hadi kumfata namna hii
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Basi baadae alijiendeleza huko huko open maana mpk anashiriki umiss alikua hajagraduate so possible hapa kati alijiendelezaSina uhakika sana lakini alosoma sauti na Mara ya mwisho alikua anafanya PhD open. Hilo ndio nnalolifaham, sijui kama aliimaliza hiyo PhD lakini nna uhakika kwamba alikua anasoma.
Basi baadae alijiendeleza huko huko open maana mpk anashiriki umiss alikua hajagraduate so possible hapa kati alijiendeleza
Vetting inafanyika Lodge au hotelini unatarajia nini hapo, hatofanywa chochote uyoJamani vetting system ya hii nchi iko wapi?
Huwezi ukampa mtu ubalozi aliekua Miss, hakuna Miss mwenye Akili, ila kwasababu Watanzania hatupendagi ukweli na tunataka Wajinga ndio hayo.
Yaani Kenya wapeleke former Miss kwenye UN kweli?? Ambapo ndio kitovu cha Dunia
Anakutana na watu waliosoma Harvad, MIT, Cambridge etc wewe unaenda kuongea nao nn