MDANGANYIKAJI
Member
- Jan 27, 2011
- 77
- 59
Nalia peke yangu, ni lini wanaume wamebadilika na kuwa very cruel like this? Where is true love? Where is my Mr right?
Sio wote wamebadilika vuta subira, tulia utampata mr.rightNalia peke yangu, ni lini wanaume wamebadilika na kuwa very cruel like this? Where is true love? Where is my Mr right?
Unalia nn ss naww kwani ulizaliwa nae mie hata siliagi maana ntatoa machozi lkn hayatanisaidia kitu ndo kwanza huwa nanunua na kuku na wine napiga zangu
Ahsanteeeeeeeeeeeeeee naja aiseeeKaribu wine
Si kweli.ukiwa right na wewe ndio utampata Mr right