How well do you know Kenyan music?

Sasa bwana mdogo utasemaje miziki ya bongo imeanza kuhit kenya kipindi cha wasafi wakati kipindi cha kina mr nice ulikuwa hujazaliwa, na hata mambo ya kwenda club umeyajua juzi.
Nikikuambia jinsi wakina marlow, hussen machozi, kina tid na wengine wengi walivyohit kenya kwenye miaka ya kuanzia 2000- 2013 najuwa utanibishia, chakufanya mtafute broo hapo mtaani kwako akupe taarifa za hao wasanii. Pia muulize mr nice ni nani.
Kwahiyo bwana mdogo miziki ya bongo ime dominant soko la muziki huko kenya tangu miaka hiyo ndio maana mmeona ni too much mkaamua kuja na kampeni yenu ya kusema play kenya music. May be inaweza kuwainua kidogo but mkumbuke aliyekuwahi kakuwahi tu
Kwahiyo wewe kutokuwa hujazaliwa au hujaanza kwenda club kipindi hicho haiondoi huo ukweli.
Will m tuva alisema ukweli kuwa wasanii wengi wa kenya hawajitumi hata kidogo, na hawapendi kusaidiana.
Akotee anasema alikuwa naigeria akawa anawauliza baadhi ya watu ni msanii gani mnayemjua kutoka kenya? Wengi walikuwa wanasema wanawafaham sauti solo tu so unaweza kuona ni kwa jinsi gani bado amjajitangaza vya kutosha
 
Kwahiyo hiyo miziki kutokuhit hapa bongo ni kosa la madj mzee baba.
 

So you are telling us even MAUA SAMA who is 2nd on the trending list in Kenya is from Wasafi?

Check your facts first before uttering baseless opinions
 
Hapo sasa umebonga sense na ndo maana watu sai wanalaumu sana media kuto market our songs nje,but that will change soon coz of the #

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kama hawamjui Diamond ni nani au kama mna the so called varieties mbona kila list kuanzia Itunes mpaka Youtube huwa Diamond anaongoza kwa kutrend akiwazidi wasanii wengine wote huko huko Kenya


Denial isn’t just a river in Egypt...

Its not debatable, Diamond and Bongo Music is undisputed in Kenya
 
Bongo ni Wasafi tu so,usinitishe na staff ya penny mbili,hata hio list kwangu haimake sense,anyway who cares,kuliko mufurahie kenya inawatajirisha,n believe kama diamond ange hit kenya Africa haingemjua,nimechoka ku argue,jipe shughli buda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You dont know shit...

Diamond hustled for that, he went to Nigeria when no one knew him!!

He payed to attend nigerian celebrity events so as to find connections..go and search how he went to psquares wedding..

But here comes kenyan artists with their lazy asses chanting #PlayKemusic thinking a hashtag can help them instead of working to make better music and find more connections..

You wont succeed until you change your mentality, sitting behind your keyboard saying Kenyan Music is better will not help you..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hauezi nifunza about mentality,brother change yours first,sifikirii tu about kula ugali na kulala n then kupiga udaku,Kenyans know their rights hakuna mtu anaeza tuambia nyef nyef its our country tukiamua hatutaki your music shida yenu ni??Kenya ni yetu so we manage it how we want,n the media imeamua kucheza kenyan music ya kenya 70%so pole bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni punguani!.. Siwezi poteza muda kubishana na wewe?!..saivi utasema hili. baadaye utakana hujasema!.. yaani hueleweki! halafu Kumbe wewe umezaliwa buku mbili hapo!.. sasa utajuaje industry ya muziki.. eti wangechi! sijui Petra! wewe unaleta fact then unaikana fact!.. Naondoka kwenye hili linyuzi lako na siji tena!
Halafu acha kuja kupromote hao wakina wangechi sijui Petra!.

Shenzy wahed..
 
Umeambiwa ukweli. fanyeni kazi sio kuleta hizo hash tag zenu za kipumbavu! mmeona mnazidiwa kete! kwanza angalia mwenyewe konde boy Kaja Juzi tuu ila angalia alivyofanya powa. sasa mmeamua kuja kujipigia promo mpaka huku jf!. nikwambie tuu buda huwezi kutushawishi tusklize machoko kama nyie mnaobana pua!.
mwanzo ulisema maua sama huwa unamskliza kila siku asubuhi kwenye playlist yako.. sehem nyingine ukasema nyimbo za bongo unaziskiaga club tuu!.. acha upuuzi jomba..
 
Sijui umeandika nini?cant get your swahili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisema ngoma ya maua sama naipenda sana na hio sikuficha na niko nayo hadi kwa phone,pamoja na kwangaru lakini hizo zingine mi huziskia tu kwa bash ama klab,na.hio ndo ukweli na hio staff ya kubana pua usiniambie tena,basi pia wewe ongea ka umebana pua tutoshane,nkt fucking damp squib,very numpty

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…