How to use JamiiForums effectively

Status
Not open for further replies.
Hello wana JF Poleni na kulikomboa Taifa,hakika Najoin kwa mala ya kwanza.
 
As a member, I am honour to greet you.Nothing more than to share informations.With thanks.Lameck
 
kama nitakosea basi nitakua sikupitia maelezo kabla ya kukubali kujiunga..
 
Maelezo mazuri sana. Yanachangia kwa kwa kiasi kikubwa kwenye ujenzi wa taifa.
:clap2:
 
For 2day may I just say Hi to JF members and all viewers? GOd bless you all for ever and ever.:clap2:
 
hey people nimeona mmoja wa wanajamii ameongelea mambo ya scholarship ya india napenda kujua je waliomaliza Adv Diploma wananafasi ya kusoma masters na ni jinsi gani ya kuweza kupata hizo scholarship.please naomba mchango wenu
 
Jaman nimefurah kuona watu wa Lutengano na mm ni mmoja wapo na n mtoto wa mwafu ambaye ni sec. Saiv vp za ckunying..,
 
I miss yu very much and that why i have joined Jamiifolum! Thanks:hand:
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…