How to track someone's phone?

Kaka website unayoisemea ni ipi??

uliko download hiyo apps
mkuu hausomi maelekezo mbona yapo wazi sana kwenye websiite na wakati wa kuinstall?
unapomaliza kabisa kufanya installation inakuambia kabisa na link inakuwepo
go back kwenye website ulikodownload iwe kwa browser ya simu au pc kisha bofya login, ingiza email yako na password uliocreate mwanzo then utakuta kila.kitu humo
 
Mkuu mi imekubali hiyo njia ya kwanza..swali naomba kufaham ku root sim ni nini na inafaida gani na hasara gani maana nataka ku truck na watsup
 

Hii kitu imetulia.
Hizo njia mbili ulizo ainisha zote zina fanya kazi sawa? Yani zote zinawezesha kupata sms,call log, Location
Je mawasiliano ya whatsapp nayo unaweza uka track

Pamoja
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ahsante sana kwa darasa ila kwenye simu ya mlengwa unaweka email ya nani?pia nimeona kuna sehemu inataka uweke aina ya simu je unaweka aina ya simu ya mlengwa au ya mlengaji??
 
Mkuu ahsante sana kwa darasa ila kwenye simu ya mlengwa unaweka email ya nani?pia nimeona kuna sehemu inataka uweke aina ya simu je unaweka aina ya simu ya mlengwa au ya mlengaji??

Unaweka email yako
aina ya simu unaweka ya simu unayoinstall hiyo app

Kumbuka unapoinstal kwenye simu yako unafanya majaribio tu, ukitaka kweli kweli basi install kwenye simu ya mlengwa hivyo basi utaweka aina ya simu yake na email yako
 
Je ni lazima simu yake iwe online muda wote au
Hapana, app itakuwa inarekodi kimya kimya siku akiwa hewani tu inatuma kwa website mambo yote aliofanya wakati yupo offline
Kuna baadhi ya function kama kupiga picha na kurodi surrounding hayatawezekana maana simu haita pokea command wakati ipo offine
 
Hii kitu imetulia.
Hizo njia mbili ulizo ainisha zote zina fanya kazi sawa? Yani zote zinawezesha kupata sms,call log, Location
Je mawasiliano ya whatsapp nayo unaweza uka track

Pamoja
Zinapisha kidogo, yapili inapiga picha na kurecord audio na nibure, yapili haina hizi functions na ni yamajaribio siku saba then unalipia
Whatsapp, FB, na mitandao mingine hadi simu ya mengwa iwe imekua rooted
 
njia ya pili kuna jamaa aniliekeza, then nika mtrack bebe, kidogo nijifie, hii ni kutafuta magonjwa,...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…