BobKinguti
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 228
- 87
habari zenu wakuu? Tafadhali naomba msaada nini nifanye ili kuondoa tatizo la white screen kwenye laptop yangu. Tatizo hili huwa halina formula, linaweza kutokea wakati nawasha computer, wakati na re-start computer, au wakati na-install a new software. Tatizo linapotokea, huwa na nazima computer then nasubiri dakika kadhaa halafu naiwasha tena, huwa inakubali na ninaendelea kutumia pc kama kawaida. Wakati mwingine inagoma kabisa mpaka inabidi ni-run window start up repair na nikiwa na bahati pc inakuwa stable inawaka in a normal way.
Wakati mwingine inatokea ninasurf through any web browser, nikii-minimize, nikatulia kwa dakika kadhaa, nikijakui-maximize, hili tatizo linatokea yaani hamna ninachoona kwenye screen zaidi ya white screen . Naendelea ku-google kutafuta chanzo na namna ya kutatua tatizo hili. Ushauri tafadhali!
Wakati mwingine inatokea ninasurf through any web browser, nikii-minimize, nikatulia kwa dakika kadhaa, nikijakui-maximize, hili tatizo linatokea yaani hamna ninachoona kwenye screen zaidi ya white screen . Naendelea ku-google kutafuta chanzo na namna ya kutatua tatizo hili. Ushauri tafadhali!