Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,374
- 151,042
Hapo ina maanisha unatumia simu ambayo haitumii android os au kweli unatumia android ila memory allocated na whatsapp kwa ajir ya kutunza message( temporary ) bado haijazidiwa
Hata mimi nilifikiria hilo pia, kwa hiyo yeye katuma message ndefu kuliko inavyoruhusiwa na Whatsapp, lakini haijafikia kiwango cha ku crash system bado?
Wangetakiwa kufanya check ya ukubwa wa mesage kabla ya kutuma.
pseudocode
Do
message.size.check
If message > xkb display "Mesage too big, reduce size"
Else send
Kama inazidi size haitumwi, inakuambia mtumaji message kubwa sana uipunguze.