How Magufuli transformed Tanzanian economy

How Magufuli transformed Tanzanian economy

Pesa apige yeye wewe uulize wengine kuwa kaweka bank gani? Kwani aliwaambia bank aliyoenda kuweka?
Inaonekana hauna uelewa wa Mambo ya pesa.Kama GAG wenu wa mchongo ,amesema pesa imepigwa na JPM na anahukika anachosema ,angefanya auditing na kujua cash outflow ilienda wapi.Sasa bilion za pesa utaziweka wapi ,Zaid ya benk za nje.Ukiona mtu anamsingizia mtu kuwa kapiga mabilion ya pesa na hajui zilipo ujue ni uongo tu.
 
Shida ya nchi yetu ni kwamba hatuna national agenda! Kama JPM ali transform uchumi wetu na akafa kabla hajafika alipotaka nchi iwe kwa nini walioshika wasiendeleze mazuri yake na kwa pace ileile?
Hapa ndio ujiulize...
Tuendelee kutoa tozo kwa unyenyekuvu mkubwa
Uku tukiendelea kutembeza bakuli la mikopo.
 
Dalili zinaonyesha kuandika legacy ya jamaa imeshashindikana, watu kila leo wanajaribu kumpamba ila wapi, kuna kitu yawezekana alikifanya ambacho hakikuwa sawa hapa duniani - it seems.
 
World Bank - 17th Tanzania Economic Update speeches



According to the The World Bank, Tanzania's economy predicted to expand between 4.5% to 5.5% this year 2022 compared to 4.3% in 2021, as a rollback of coronavirus-related restrictions in many countries boosts tourism and trade. Country Director Dr. Marwa Warwick explains at Tanzania Economic Update in Dar Es Salaam.
 
Tanzanian economy expected to bounce back in 2022



Source : Switch TV News
 
Hivi mnajua huyu magufuli wenu aliharibu sana uchumi wa nchi kutokana na ufisadi mkubwa aliofanya?
Ni vyema mngekaa kimya Mama SSH ajenge uchumi mpya baada ya kuporomoka!
 
Hii ni video imeandaliwa na mabeberu kwa hiari yao na kwa gharama zao wakielezea namna Hayati Magufuli alivyobadilisha uchumi wa Tanzania kufikia kumi bora Afrika na kuwa na hadhi ya uchumi wa kati ndani ya miaka 5 badala ya miaka 10 tuliyokuwa tumepangiwa na haohao mabeberu.

Video hii inathibitisha shombo za kina Mbowe,Zito, Lisu, Lema hazikumtikisa Magufuli akiwa hai na hazitaweza kumtikisa akiwa mauti.


Cc Zitto
 
Hii ni video imeandaliwa na mabeberu kwa hiari yao na kwa gharama zao wakielezea namna Hayati Magufuli alivyobadilisha uchumi wa Tanzania kufikia kumi bora Afrika na kuwa na hadhi ya uchumi wa kati ndani ya miaka 5 badala ya miaka 10 tuliyokuwa tumepangiwa na haohao mabeberu.

Video hii inathibitisha shombo za kina Mbowe,Zito, Lisu, Lema hazikumtikisa Magufuli akiwa hai na hazitaweza kumtikisa akiwa mauti.


Transformed wakati hakuna hata kamradi kamoja kalimalizika?

Hao wangesema jinsi alianzisha sawa,by the way CAG anasema Miradi ya bil.500 plus ilianzishwa na haina tija ..

Sasa kwa hali hii sijui alitransfomu uchumi kivipi ikiwa hiyo miradi ni liability.
.
Mwisho hiyo video yote ni utopolo yaani inaongelea elimu ,huko kwenye madini hakuna statistics , kwenye uchumi hakuna waloposema uchumi ulikuwa kiasi gani na blaa blaa zingine..

Hata wale aliwaita wanyonge hakuna ambae maisha yake yaliimarika zaidi ya kudidimia.
 
Wapinzani wa Magufuri wameshindwa kazi,ndio maana wamekondisha watu kwenye mitandao wamwandike vibaya,ila nao wameshindwa,kwasababu wanaowatetea wako hand pafomanc.Magufuri kama ulikuwa sio fisadi au vyeti feki au mvivu hauwezi kumtukana Magufuri.
Unfortunately unaemsemea hayupo na hata umoja Party hawawezi kumfanya kuwa mgombea maana anaoza saizi.😬😬
 
AtakAe simama na sera za Magufuli 2025 ndie Rais.
Will never happen..

Kwamba Umoja Party watawaambia wapiga kura kwamba saizi hatutaajiti,tutapuuza kilimo,na tutapora matajiri pesa Ili tujengee miradi sio? šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚..

Kwamba hatutasafiri nje kwa sababu sisi ni tajiri Sana and such upuuzi au kuna sera zingine tofauti na hizi?
 
Inaonekana hauna uelewa wa Mambo ya pesa.Kama GAG wenu wa mchongo ,amesema pesa imepigwa na JPM na anahukika anachosema ,angefanya auditing na kujua cash outflow ilienda wapi.Sasa bilion za pesa utaziweka wapi ,Zaid ya benk za nje.Ukiona mtu anamsingizia mtu kuwa kapiga mabilion ya pesa na hajui zilipo ujue ni uongo tu.
Wewe nachelea kukuona kama Sukuma gang member, unasema ni kazi ya CAG kufanya uchunguzi wa pesa zilipokwenda? Unajua majukumu ya CAG na mipaka yake kweli wewe? Then unamwita wa mchongo wakati aliteuliwa na huyo huyo Jiwe baada ya yule wa awali kitolewa kisa tu kamweleza ukweli juu ya upotevu wa 1.5tr. Ukweli wa CAG ulimponza kwani hakujua kuwa jiwe hakupenda kusikia ukweli juu wizi wake. Labda useme CAG wote wawili walikuwa wa mchongo
 
Will never happen..

Kwamba Umoja Party watawaambia wapiga kura kwamba saizi hatutaajiti,tutapuuza kilimo,na tutapora matajiri pesa Ili tujengee miradi sio? [emoji23][emoji23][emoji23]..

Kwamba hatutasafiri nje kwa sababu sisi ni tajiri Sana and such upuuzi au kuna sera zingine tofauti na hizi?
Umesahau na ile ya kila atakae tupinga tunamuua
 
Wapinzani wa Magufuri wameshindwa kazi,ndio maana wamekondisha watu kwenye mitandao wamwandike vibaya,ila nao wameshindwa,kwasababu wanaowatetea wako hand pafomanc.Magufuri kama ulikuwa sio fisadi au vyeti feki au mvivu hauwezi kumtukana Magufuri.

Wale woote wenyewe sifa hizo waliishi kwa raha mustarehe. Lkn ule upande mwingine wa WAHUNI ulikuwa JEHANAMU.
 
Ni rahisi kujua wanaompinga JPM wengi ni wapiga madili na wauza ngada.
Umati wa watu wa kawaida wanaoishi maisha yao kwa jasho lao walimfurahia saana JPM.
 
Back
Top Bottom