How Magufuli transformed Tanzanian economy

How Magufuli transformed Tanzanian economy

Kiturilo

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
706
Reaction score
2,859
Hii ni video imeandaliwa na mabeberu kwa hiari yao na kwa gharama zao wakielezea namna Hayati Magufuli alivyobadilisha uchumi wa Tanzania kufikia kumi bora Afrika na kuwa na hadhi ya uchumi wa kati ndani ya miaka 5 badala ya miaka 10 tuliyokuwa tumepangiwa na haohao mabeberu.

Video hii inathibitisha shombo za kina Mbowe,Zito, Lisu, Lema hazikumtikisa Magufuli akiwa hai na hazitaweza kumtikisa akiwa mauti.

 
Wanatunga uongo wakimtumia GA

Hii ni video imeandaliwa na mabeberu kwa hiari yao na kwa gharama zao wakielezea namna Hayati Magufuli alivyobadilisha uchumi wa Tanzania kufikia kumi bora Afrika na kuwa na hadhi ya uchumi wa kati ndani ya miaka...
Wahuni wanatunga uongo Kama waliomtungia Lowassa kuwa ni fisadi.Sasa wanatunga uongo kuwa JPM alipiga hela.Kama alipiga pesa ,je aliweka benki gani?

Pesa zipo kwenye miradi ,ya barabara,majengo ,fly over ,masoko ,n.k .Na pia pesa ziliinua uchumi kuwa wa kati.Tunasubiri mama atupeleke uchumi wa wakati.
 
Mimi sijaona Data yyt ya kiuchumi iliyotumika kwenye hiyo video zaodi narative.

Ku transfrm nchi inabidi uangalie overal economy performamce ikiambatana na data.

Hiyo clip ni sawa na maneno ya Msiba tafauti yamesemwa kwa kiingereza
 
Hii ni video imeandaliwa na mabeberu kwa hiari yao na kwa gharama zao wakielezea namna Hayati Magufuli alivyobadilisha uchumi wa Tanzania kufikia kumi bora Afrika na kuwa na hadhi ya uchumi wa kati ndani ya miaka 5 badala ya miaka 10 tuliyokuwa tumepangiwa na haohao mabeberu.

Video hii inathibitisha shombo za kina Mbowe,Zito, Lisu, Lema hazikumtikisa Magufuli akiwa hai na hazitaweza kumtikisa akiwa mauti.


AtakAe simama na sera za Magufuli 2025 ndie Rais.
 
Wapinzani wa Magufuri wameshindwa kazi,ndio maana wamekondisha watu kwenye mitandao wamwandike vibaya,ila nao wameshindwa,kwasababu wanaowatetea wako hand pafomanc.Magufuri kama ulikuwa sio fisadi au vyeti feki au mvivu hauwezi kumtukana Magufuri.
Unaweza kuweka ushahidi wa tusi moja tu alilotukanwa? Tatizo mkiambiwa ukweli mnadai mmetukanwa. Mfano mtu akisema Jiwe alikuwa muuaji nyie mnadai hilo ni tusi wakati ndiyo ukweli wenyewe
 
Wanatunga uongo wakimtumia GA


Wahuni wanatunga uongo Kama waliomtungia Lowassa kuwa ni fisadi.Sasa wanatunga uongo kuwa JPM alipiga hela.Kama alipiga pesa ,je aliweka benki gani?

Pesa zipo kwenye miradi ,ya barabara,majengo ,fly over ,masoko ,n.k .Na pia pesa ziliinua uchumi kuwa wa kati.Tunasubiri mama atupeleke uchumi wa wakati.
Pesa apige yeye wewe uulize wengine kuwa kaweka bank gani? Kwani aliwaambia bank aliyoenda kuweka?
 
Hii ni video imeandaliwa na mabeberu kwa hiari yao na kwa gharama zao wakielezea namna Hayati Magufuli alivyobadilisha uchumi wa Tanzania kufikia kumi bora Afrika na kuwa na hadhi ya uchumi wa kati ndani ya miaka 5 badala ya miaka 10 tuliyokuwa tumepangiwa na haohao mabeberu.

Video hii inathibitisha shombo za kina Mbowe,Zito, Lisu, Lema hazikumtikisa Magufuli akiwa hai na hazitaweza kumtikisa akiwa mauti.


He was a killer
 
Hahaaa mnalo,jiwe walilolikataa waashi...!!
Mnataka maendeleo ila viongozi wazuri hamuwataki ili muibe.
Bakini hapo hapo,UG soon itawapita.
 
Acha kutumia wingi, sema baba wa wanyonge na Sukuma gang. Hili Taifa siyo kila mtu ni mnyonge au sukuma gang. Heshimu wenzako tafadhali
Hao wanyonge na sukuma gang ni singular au plural?
 
Back
Top Bottom