Kiturilo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 706
- 2,859
Hii ni video imeandaliwa na mabeberu kwa hiari yao na kwa gharama zao wakielezea namna Hayati Magufuli alivyobadilisha uchumi wa Tanzania kufikia kumi bora Afrika na kuwa na hadhi ya uchumi wa kati ndani ya miaka 5 badala ya miaka 10 tuliyokuwa tumepangiwa na haohao mabeberu.
Video hii inathibitisha shombo za kina Mbowe,Zito, Lisu, Lema hazikumtikisa Magufuli akiwa hai na hazitaweza kumtikisa akiwa mauti.
Video hii inathibitisha shombo za kina Mbowe,Zito, Lisu, Lema hazikumtikisa Magufuli akiwa hai na hazitaweza kumtikisa akiwa mauti.