Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,906
beyond 8hrs YOU MUST HAVE THAT THING8 hours (8am - 5pm)
Nimeweka ten years lakini sio ten years halisi.Nilitaka kuonyesha kuwa inawezekana Kusubiri kwa long term zaidi ya miaka 10.kwa hiyo BEYOND TEN YEARS you must have sex?...
too general!substantiateas long as it is neccesary
sasa si ungeandika tu I CAN STAY THE REST OF MY LIFE WITHOUT ITNimeweka ten years lakini sio ten years halisi.Nilitaka kuonyesha kuwa inawezekana Kusubiri kwa long term zaidi ya miaka 10.
Kwa hiyo is not a must after 10 yrs.
Kwa hiyo ukiwa loose tu...!you need it.you need sm1 TO DO YOUukiwaza unaitaka itabidi upate maana mawazo kuyazui ni mpaka nafsi iamue,but for me I can stay longer s long as nina mambo meeeeeeengi ya kufanya n pia sijabariki hilo tendo lenyewe,but likiwa limebarikiwa mmh dia I shoul;d get it as much as posible n as long has haiumwi.
Kwa hiyo ukiwa loose tu...!you need it.you need sm1 TO DO YOU..?
ndio maana unaitwa NGULIUngebadili swali liwe how many times(for married pipo kama sisi) tunafanya tendo hilo kwa ruhusa ya kanisa??
Jibu kwa mimi ni kutwa mara 3 kwa miezi 12, kukiwa na kipingamizi tunamwona mchungaji(If symptoms persist seek medical advice....pharmacists angeshauri hivyo)
Hiii kitu tunaipenda sana,
kwa wenye ndoa na wasio na ndoa.
Je wewe unahimili kukaa muda gani bila kupata ile kitu roho inapenda?
sitaki kuamini kwamba kuna mtu hapendi!....Alafu apo kwenye red rekebisha usemi wako.sema hii kitu baadhi yetu tunaipenda sana.Ninaamini kuna watu kibao hawaipendi kama unavyodhani.Umegeneralize sana.