Stress, Hasira, Matusi, Kupungua kwa ufanisi wa kazi... yaani we acha tu, ukiona mdada kakaa vibaya akili inaruka, ukiona michirizi ya pichu wee hoi...
yaani asikwambie mtu, wakati mwingine concentration inaruka hata padre humsikilizi vizuri church. manake huko nako wanapiga vipedo si kawaida.