How do you sleep....?


Teh teh teh teh teh,
Mlichekaje!!
Afu ashukuru ilikuwa usiku,ingekuwa mchana,tungejazanaje!!!
Ila Nahs asubuhi alikuwa mpole kama Kondoo.
Ila Mkuu Erickb52 haya mambo ya kulala Naked yana vituko sana.
Nakumbuka nililala mlalo wa No.4 ghafla nikasikia Mwizi!!Mwizi!!,
nilikurupuka mtupu hadi nje,bahati nyumba ya jirani kulikuwa na Msuli wa Ustaadhi kwenye kamba nikaupitia.
Aisee sitasahau maana yule Ustaadhi alinikuta nao nimeuvaa kule kwenye tukio.
 
Last edited by a moderator:
nyie mnaolala namba 3 na 4 wengi mtakua ni mambo swafii...ndio maana mnawaponda namba 1 na 2, lala hiyo namba 4 huku kijijini kwetu kama hujakuta cobra au anaconda mtoto ndio mkia unamalizikia kuingia kunako kibubu
 
nyie mnaolala namba 3 na 4 wengi mtakua ni mambo swafii...ndio maana mnawaponda namba 1 na 2, lala hiyo namba 4 huku kijijini kwetu kama hujakuta cobra au anaconda mtoto ndio mkia unamalizikia kuingia kunako

Barida tu.
 

Madame B naona unatuokota hivi hivi...hahaha
 
Last edited by a moderator:
nyie mnaolala namba 3 na 4 wengi mtakua ni mambo swafii...ndio maana mnawaponda namba 1 na 2, lala hiyo namba 4 huku kijijini kwetu kama hujakuta cobra au anaconda mtoto ndio mkia unamalizikia kuingia kunako kibubu

hi hi hi....hii ina apply kwa jinsia zote....?
 
Hahahahahahahaha
sipati picha ustadh alivyo panic

 
Last edited by a moderator:
Unajua sisi hapa kijijini kwetu ni kosa la jinai kulala uchi!. Wamwela wakikukamata ni lupango moja kwa moja.
 

Mbavu zinauma.
 
Last edited by a moderator:
nampiga picha Preta na namba nne
 
Last edited by a moderator:
Extra naked! Namba 5 ingawa kwa macho ya kawaida siioni.
 
aiseeee! ulimwengu wa walala chiu ni mkubwa sana inaonyesha! lol
 

nimechekaaaaaaaaaaaaaaaaaa dah nikakumbuka kuna siku dodoma tetemeko la ardhi lilitokea alfajiri ....weeeeee acha tu wengine walitoka na underskirt kichwani, mnafika nje ndo mnaanza kujishangaa ..........
acha kabisaaa hahahahahaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…