Sana aisee
Kuna mwaka tulikuwa msibani sasa kuna jamaa akawa na simu yake ya kichina akawa anaogopa kuibiwa akaamua kuiweka kwenye chupi(Kule maeneo) then akalala....!
Baadae kama saa saba wakati tushalala simu si ikaanza kuita na ilikuwa na vibration kubwa Lol
Jamaa kasahau kama ni simu wacha aamke kwa kuruka huku akipiga kelele dah ilikuwa aibu sana na kila nikikumbuka huwa nacheka sana Madame B coz ilikuwa kituko kweli
Watu wote waliamka kwa kuwa alipiga kelele za ukweli tukakurupuka kukimbia dah we acha tu
nyie mnaolala namba 3 na 4 wengi mtakua ni mambo swafii...ndio maana mnawaponda namba 1 na 2, lala hiyo namba 4 huku kijijini kwetu kama hujakuta cobra au anaconda mtoto ndio mkia unamalizikia kuingia kunako
Teh teh teh teh teh,
Mlichekaje!!
Afu ashukuru ilikuwa usiku,ingekuwa mchana,tungejazanaje!!!
Ila Nahs asubuhi alikuwa mpole kama Kondoo.
Ila Mkuu Erickb52 haya mambo ya kulala Naked yana vituko sana.
Nakumbuka nililala mlalo wa No.4 ghafla nikasikia Mwizi!!Mwizi!!,
nilikurupuka mtupu hadi nje,bahati nyumba ya jirani kulikuwa na Msuli wa Ustaadhi kwenye kamba nikaupitia.
Aisee sitasahau maana yule Ustaadhi alinikuta nao nimeuvaa kule kwenye tukio.
nyie mnaolala namba 3 na 4 wengi mtakua ni mambo swafii...ndio maana mnawaponda namba 1 na 2, lala hiyo namba 4 huku kijijini kwetu kama hujakuta cobra au anaconda mtoto ndio mkia unamalizikia kuingia kunako kibubu
Madame B naona unatuokota hivi hivi...hahaha
ukiolewa shurti uwe kama namba nne lol
Teh teh teh teh teh,
Mlichekaje!!
Afu ashukuru ilikuwa usiku,ingekuwa mchana,tungejazanaje!!!
Ila Nahs asubuhi alikuwa mpole kama Kondoo.
Ila Mkuu Erickb52 haya mambo ya kulala Naked yana vituko sana.
Nakumbuka nililala mlalo wa No.4 ghafla nikasikia Mwizi!!Mwizi!!,
nilikurupuka mtupu hadi nje,bahati nyumba ya jirani kulikuwa na Msuli wa Ustaadhi kwenye kamba nikaupitia.
Aisee sitasahau maana yule Ustaadhi alinikuta nao nimeuvaa kule kwenye tukio.
Erickb52,
yani hayo makitu ya No.4 yana utamu wake,ila ngoja lije fumanizi.
Ila msibani bhana kunakuaga na vituko sana.
Mimi ni 4net.
Nadumisha Asili ya Awali!
Ila Utamu wa No.4 shosti, ngoja litokee fumanizi.
Mwenyewe Utaanza kuitamani No.1.
Sana aisee
Kuna mwaka tulikuwa msibani sasa kuna jamaa akawa na simu yake ya kichina akawa anaogopa kuibiwa akaamua kuiweka kwenye chupi(Kule maeneo) then akalala....!
Baadae kama saa saba wakati tushalala simu si ikaanza kuita na ilikuwa na vibration kubwa Lol
Jamaa kasahau kama ni simu wacha aamke kwa kuruka huku akipiga kelele dah ilikuwa aibu sana na kila nikikumbuka huwa nacheka sana Madame B coz ilikuwa kituko kweli
Watu wote waliamka kwa kuwa alipiga kelele za ukweli tukakurupuka kukimbia dah we acha tu
Utawajua kwa maneno na matendo yao...
Sana aisee
Kuna mwaka tulikuwa msibani sasa kuna jamaa akawa na simu yake ya kichina akawa anaogopa kuibiwa akaamua kuiweka kwenye chupi(Kule maeneo) then akalala....!
Baadae kama saa saba wakati tushalala simu si ikaanza kuita na ilikuwa na vibration kubwa Lol
Jamaa kasahau kama ni simu wacha aamke kwa kuruka huku akipiga kelele dah ilikuwa aibu sana na kila nikikumbuka huwa nacheka sana Madame B coz ilikuwa kituko kweli
Watu wote waliamka kwa kuwa alipiga kelele za ukweli tukakurupuka kukimbia dah we acha tu