KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 17,999
- 32,328
Tatizo lako mkuu umevunja makubaliano....inavyoonekana kabla ya kumtongoza mlijadiliana na swahiba wako kuwa uanze wewe then utambakishia....
Lakini cha ajabu swahiba wako anashangaa mzee umeganda mazima...hali inayomlazimu na yeye kuanza kufanya taratibu zake..
Mwachie na mwenzio naye aonje kama mlivyokubaliana............na huyo mdada naye aache kujishaua ina maana anatongozwa na huyo swahiba wako tu....mbona wengine hakuambii....,??...
Anataka kuwagombanisha ili ale huku na huku....
Lakini cha ajabu swahiba wako anashangaa mzee umeganda mazima...hali inayomlazimu na yeye kuanza kufanya taratibu zake..
Mwachie na mwenzio naye aonje kama mlivyokubaliana............na huyo mdada naye aache kujishaua ina maana anatongozwa na huyo swahiba wako tu....mbona wengine hakuambii....,??...
Anataka kuwagombanisha ili ale huku na huku....