How do i get this House design?

Isumbwile

JF-Expert Member
Dec 12, 2012
801
359
Habari zenu wanajf

Katika pitapita zangu mtaani kuna nyumba moja imenivutia sana kwa jinsi ilivyojengwa,ni nyumba ya gorofa moja, mchoro wake na design yake vimenivutia sana.

Tatizo ni kwamba je naupataje mchoro wa hiyo nyumba au basi hata architect aliyechora huo mchoro kwasababu nimejaribu kufatilia nimeambiwa mwenye nyumba sio mtu ambaye anapatikana kirahisi na kusema labda nipige picha hiyo nyumba kuna walinzi pale 24/7 wanaweza kuanzisha msala. Pia nimejaribu kumleta architect labda aione kwa nje ajaribu kuchora lakini imekuwa ngumu kwani view nzuri ni lazima uwe kwa ndani so ikawa ngumu kuchora from outside plus kuna ukuta mrefu sana.

Wadau,najua tumeshawahi kuona nyumba nzuri na ukavutiwa na mchoro wake,je ulifanyaje kupata huo mchoro?

Nawasilisha..
 
Ili kupata kibali cha ujenzi kutoka manispaa, mwenye hiyo nyumba uliyoona, lazima aliwasilisha michoro (ramani nakadhalika) katika manispaa husika ya eneo hilo.

Kwa hiyo kujibu swali lako, waweza kupata hiyo ramani kutoka manispaa husika. Utahitaji at least kujua namba ya kiwanja/Kitalu nyimbo hiyo ilipojengwa ili kuweza kufanya search manispaa (hii ni assuming eneo liko surveyed/limepimwa)

Nawakilisha.
 
mkuu hii ni kweli theoretically au dunia ya kwanza. ila huku kwetu sijui; kama haijapotea au kuliwa na panya basi jamaa alichukua kibali kimagumashi

Ili kupata kibali cha ujenzi kutoka manispaa, mwenye hiyo nyumba uliyoona, lazima aliwasilisha michoro (ramani nakadhalika) katika manispaa husika ya eneo hilo.

Kwa hiyo kujibu swali lako, waweza kupata hiyo ramani kutoka manispaa husika. Utahitaji at least kujua namba ya kiwanja/Kitalu nyimbo hiyo ilipojengwa ili kuweza kufanya search manispaa (hii ni assuming eneo liko surveyed/limepimwa)

Nawakilisha.
 
mi ni architect by professional....hiyo nyumba iko wapi...lakini pia ukinitafuta nikakuonesha portifolio langu utaniambia nikudesign a house...na ukiwa na muda nitakutembeza kwenye kazi kama mbili au tatu zilidesigniwa na mimi na nikasimamia ujenzi hadi inaisha.....ila kazi nyingi nimefanya kigamboni....!....so call 0714 227532
 
Ili kupata kibali cha ujenzi kutoka manispaa, mwenye hiyo nyumba uliyoona, lazima aliwasilisha michoro (ramani nakadhalika) katika manispaa husika ya eneo hilo.

Kwa hiyo kujibu swali lako, waweza kupata hiyo ramani kutoka manispaa husika. Utahitaji at least kujua namba ya kiwanja/Kitalu nyimbo hiyo ilipojengwa ili kuweza kufanya search manispaa (hii ni assuming eneo liko surveyed/limepimwa)

Nawakilisha.

The home of Great Thinkers!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom