How 2 hack dstv?

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,047
21,522
Is there any1 ambaye anajua how 2hack dstv decoda ili chanelz ziwezinashka free?
 
Jamani huku ni kurudisha nyuma maendeleo

Nunua tu kiuhalali kabisa ndio itafaa
 
Hebu nendeni mkaweke ili Taifa liwe na pesa sasa mkichakachua hiyo Dstv watalipa tax serikalini?
 
Sikia ''mzeewaLoliondo'' hii kitu ni possible...mimi nilifundishwa na kijana mmoja wa kikenya wakati nipo india masomoni, unachotakiwa kufanya ni kuwa na Receiver box tu....hauhitaji hata kuwa na dish, kwani hata mwamvuli tu unatosha kunasa channel zote za DSTV. Sasa hii njia ni nzuri kwani unakamata channels unazozitaka 'plus' taarifa za kiintelegensia zinazotumika kwa satellite za usalama wa taifa,zinaingiliana na information nyingi sana za kiintelegensia, yule jamaa(mkenya) alikamatwa mara moja alivyoanza tu kutumia, kwani walimtrace wakampata kirahisi sana, sasa sijui hapa bongo imekaaje. Naweza nikakupa techniq kuanza hii kitu lakini ni for ''YOUR OWN RISK''. Na kwa ushauri tu, usitumie hii kitu kwa kufanya biashara!!hii ni kwa home use only!!! Same way ukiwa mkoani ni nzuri zaidi kuliko ukiwa hapo Dar es salaam. Let me think twice...muda mfupi naweza kumwaga mauujuzi hapa jamvini.
 
Sikia ''mzeewaLoliondo'' hii kitu ni possible...mimi nilifundishwa na kijana mmoja wa kikenya wakati nipo india masomoni, unachotakiwa kufanya ni kuwa na Receiver box tu....hauhitaji hata kuwa na dish, kwani hata mwamvuli tu unatosha kunasa channel zote za DSTV. Sasa hii njia ni nzuri kwani unakamata channels unazozitaka 'plus' taarifa za kiintelegensia zinazotumika kwa satellite za usalama wa taifa,zinaingiliana na information nyingi sana za kiintelegensia, yule jamaa(mkenya) alikamatwa mara moja alivyoanza tu kutumia, kwani walimtrace wakampata kirahisi sana, sasa sijui hapa bongo imekaaje. Naweza nikakupa techniq kuanza hii kitu lakini ni for ''YOUR OWN RISK''. Na kwa ushauri tu, usitumie hii kitu kwa kufanya biashara!!hii ni kwa home use only!!! Same way ukiwa mkoani ni nzuri zaidi kuliko ukiwa hapo Dar es salaam. Let me think twice...muda mfupi naweza kumwaga mauujuzi hapa jamvini.

Mpwa una mi kwara kama ya mzee Gaddafi.... Mwaga huo ujuzi mkuu.
 
Sikia ''mzeewaLoliondo'' hii kitu ni possible...mimi nilifundishwa na kijana mmoja wa kikenya wakati nipo india masomoni, unachotakiwa kufanya ni kuwa na Receiver box tu....hauhitaji hata kuwa na dish, kwani hata mwamvuli tu unatosha kunasa channel zote za DSTV. Sasa hii njia ni nzuri kwani unakamata channels unazozitaka 'plus' taarifa za kiintelegensia zinazotumika kwa satellite za usalama wa taifa,zinaingiliana na information nyingi sana za kiintelegensia, yule jamaa(mkenya) alikamatwa mara moja alivyoanza tu kutumia, kwani walimtrace wakampata kirahisi sana, sasa sijui hapa bongo imekaaje. Naweza nikakupa techniq kuanza hii kitu lakini ni for ''YOUR OWN RISK''. Na kwa ushauri tu, usitumie hii kitu kwa kufanya biashara!!hii ni kwa home use only!!! Same way ukiwa mkoani ni nzuri zaidi kuliko ukiwa hapo Dar es salaam. Let me think twice...muda mfupi naweza kumwaga mauujuzi hapa jamvini.

Au tuku pm kwa anayetaka kuliko kumwaga kuku wengi kwenye mchele
 
Sikia ''mzeewaLoliondo'' hii kitu ni possible...mimi nilifundishwa na kijana mmoja wa kikenya wakati nipo india masomoni, unachotakiwa kufanya ni kuwa na Receiver box tu....hauhitaji hata kuwa na dish, kwani hata mwamvuli tu unatosha kunasa channel zote za DSTV. Sasa hii njia ni nzuri kwani unakamata channels unazozitaka 'plus' taarifa za kiintelegensia zinazotumika kwa satellite za usalama wa taifa,zinaingiliana na information nyingi sana za kiintelegensia, yule jamaa(mkenya) alikamatwa mara moja alivyoanza tu kutumia, kwani walimtrace wakampata kirahisi sana, sasa sijui hapa bongo imekaaje. Naweza nikakupa techniq kuanza hii kitu lakini ni for ''YOUR OWN RISK''. Na kwa ushauri tu, usitumie hii kitu kwa kufanya biashara!!hii ni kwa home use only!!! Same way ukiwa mkoani ni nzuri zaidi kuliko ukiwa hapo Dar es salaam. Let me think twice...muda mfupi naweza kumwaga mauujuzi hapa jamvini.

Pumba. Taarifa za kiintelijensia ziko encrypted, hauwezi kuvuta tu, pia hakuna njia ya kuwa tracked kwa sababu unatumia dish, dish inareceive bila kutransmit utatrack nini?
 
Jamani huku ni kurudisha nyuma maendeleo

Nunua tu kiuhalali kabisa ndio itafaa

DSTV wajinga fulani hivi. Nilitaka dstv ofisini kwangu wananambia natakiwa kulipia 150$ kwa mwezi kwa kuwa tutakuwa tunaangalia ofisini lakini kama ni nyumbani ni 25$. Kama wanauwezo wa kuchakachua mi naona poa tu!
 
Sikia ''mzeewaLoliondo'' hii kitu ni possible...mimi nilifundishwa na kijana mmoja wa kikenya wakati nipo india masomoni, unachotakiwa kufanya ni kuwa na Receiver box tu....hauhitaji hata kuwa na dish, kwani hata mwamvuli tu unatosha kunasa channel zote za DSTV. Sasa hii njia ni nzuri kwani unakamata channels unazozitaka 'plus' taarifa za kiintelegensia zinazotumika kwa satellite za usalama wa taifa,zinaingiliana na information nyingi sana za kiintelegensia, yule jamaa(mkenya) alikamatwa mara moja alivyoanza tu kutumia, kwani walimtrace wakampata kirahisi sana, sasa sijui hapa bongo imekaaje. Naweza nikakupa techniq kuanza hii kitu lakini ni for ''YOUR OWN RISK''. Na kwa ushauri tu, usitumie hii kitu kwa kufanya biashara!!hii ni kwa home use only!!! Same way ukiwa mkoani ni nzuri zaidi kuliko ukiwa hapo Dar es salaam. Let me think twice...muda mfupi naweza kumwaga mauujuzi hapa jamvini.

Sio box tu. Na siorahisi kama unavyosema. ebu elezea kitaaam proceess nzima ya ya tokea matangazo yanarushwa kutoka kituoni kwenda kwenye satelite na mapaka yarrudi kwenye satelite receiver ya mtumiaji. hasa matangazo kama ya super sport

Hivi vitu sio rahisi hivyo.

Kwanza kabla ya kuhack inabdi ajue na asome how TV satelite works . Soma hapa HowStuffWorks "Satellite TV Encoding and Encryption" hasa section ya 7 kuhusu ecryption.

Kinadharia inawezekena kirahisi but kivitendo kuscramble
encrypted channel inawezekana lakini ni ngumu sababu wanakaa wanabadilisha code. na ni zile receiver halali ndo zinapokea code automaticaaly. Wewe ukichakachua kila siku tatu au nne itabidi uigie net kufauta news scrambling code.

Utakachoweza kupata kwenye dish la kuchakachua la la DSTV bila shida ni zile channel free. lakini sio kama SS. labda uwe na mfanyakazi fulani wa kuwa anakupa decryption code zao
.

Hiyo let me think twice usiwe mwanasiasa please tueleweshe.
 
Sikia ''mzeewaLoliondo'' hii kitu ni possible...mimi nilifundishwa na kijana mmoja wa kikenya wakati nipo india masomoni, unachotakiwa kufanya ni kuwa na Receiver box tu....hauhitaji hata kuwa na dish, kwani hata mwamvuli tu unatosha kunasa channel zote za DSTV. Sasa hii njia ni nzuri kwani unakamata channels unazozitaka 'plus' taarifa za kiintelegensia zinazotumika kwa satellite za usalama wa taifa,zinaingiliana na information nyingi sana za kiintelegensia, yule jamaa(mkenya) alikamatwa mara moja alivyoanza tu kutumia, kwani walimtrace wakampata kirahisi sana, sasa sijui hapa bongo imekaaje. Naweza nikakupa techniq kuanza hii kitu lakini ni for ''YOUR OWN RISK''. Na kwa ushauri tu, usitumie hii kitu kwa kufanya biashara!!hii ni kwa home use only!!! Same way ukiwa mkoani ni nzuri zaidi kuliko ukiwa hapo Dar es salaam. Let me think twice...muda mfupi naweza kumwaga mauujuzi hapa jamvini.

mwaga mambo mkuu
 
Mimi nilichosikia kuna setillite free za Arabini ambao hukamata channel za kulipia. Sijui kama ni kweli?
 
Back
Top Bottom