donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,522
Is there any1 ambaye anajua how 2hack dstv decoda ili chanelz ziwezinashka free?
unataka tuweke mambo hadharani ili waushtukie kisha watubanie?
Jamani huku ni kurudisha nyuma maendeleo
Nunua tu kiuhalali kabisa ndio itafaa
Sikia ''mzeewaLoliondo'' hii kitu ni possible...mimi nilifundishwa na kijana mmoja wa kikenya wakati nipo india masomoni, unachotakiwa kufanya ni kuwa na Receiver box tu....hauhitaji hata kuwa na dish, kwani hata mwamvuli tu unatosha kunasa channel zote za DSTV. Sasa hii njia ni nzuri kwani unakamata channels unazozitaka 'plus' taarifa za kiintelegensia zinazotumika kwa satellite za usalama wa taifa,zinaingiliana na information nyingi sana za kiintelegensia, yule jamaa(mkenya) alikamatwa mara moja alivyoanza tu kutumia, kwani walimtrace wakampata kirahisi sana, sasa sijui hapa bongo imekaaje. Naweza nikakupa techniq kuanza hii kitu lakini ni for ''YOUR OWN RISK''. Na kwa ushauri tu, usitumie hii kitu kwa kufanya biashara!!hii ni kwa home use only!!! Same way ukiwa mkoani ni nzuri zaidi kuliko ukiwa hapo Dar es salaam. Let me think twice...muda mfupi naweza kumwaga mauujuzi hapa jamvini.
Sikia ''mzeewaLoliondo'' hii kitu ni possible...mimi nilifundishwa na kijana mmoja wa kikenya wakati nipo india masomoni, unachotakiwa kufanya ni kuwa na Receiver box tu....hauhitaji hata kuwa na dish, kwani hata mwamvuli tu unatosha kunasa channel zote za DSTV. Sasa hii njia ni nzuri kwani unakamata channels unazozitaka 'plus' taarifa za kiintelegensia zinazotumika kwa satellite za usalama wa taifa,zinaingiliana na information nyingi sana za kiintelegensia, yule jamaa(mkenya) alikamatwa mara moja alivyoanza tu kutumia, kwani walimtrace wakampata kirahisi sana, sasa sijui hapa bongo imekaaje. Naweza nikakupa techniq kuanza hii kitu lakini ni for ''YOUR OWN RISK''. Na kwa ushauri tu, usitumie hii kitu kwa kufanya biashara!!hii ni kwa home use only!!! Same way ukiwa mkoani ni nzuri zaidi kuliko ukiwa hapo Dar es salaam. Let me think twice...muda mfupi naweza kumwaga mauujuzi hapa jamvini.
Hebu nendeni mkaweke ili Taifa liwe na pesa sasa mkichakachua hiyo Dstv watalipa tax serikalini?
Sikia ''mzeewaLoliondo'' hii kitu ni possible...mimi nilifundishwa na kijana mmoja wa kikenya wakati nipo india masomoni, unachotakiwa kufanya ni kuwa na Receiver box tu....hauhitaji hata kuwa na dish, kwani hata mwamvuli tu unatosha kunasa channel zote za DSTV. Sasa hii njia ni nzuri kwani unakamata channels unazozitaka 'plus' taarifa za kiintelegensia zinazotumika kwa satellite za usalama wa taifa,zinaingiliana na information nyingi sana za kiintelegensia, yule jamaa(mkenya) alikamatwa mara moja alivyoanza tu kutumia, kwani walimtrace wakampata kirahisi sana, sasa sijui hapa bongo imekaaje. Naweza nikakupa techniq kuanza hii kitu lakini ni for ''YOUR OWN RISK''. Na kwa ushauri tu, usitumie hii kitu kwa kufanya biashara!!hii ni kwa home use only!!! Same way ukiwa mkoani ni nzuri zaidi kuliko ukiwa hapo Dar es salaam. Let me think twice...muda mfupi naweza kumwaga mauujuzi hapa jamvini.
Jamani huku ni kurudisha nyuma maendeleo
Nunua tu kiuhalali kabisa ndio itafaa
Jamani huku ni kurudisha nyuma maendeleo
Nunua tu kiuhalali kabisa ndio itafaa
Sikia ''mzeewaLoliondo'' hii kitu ni possible...mimi nilifundishwa na kijana mmoja wa kikenya wakati nipo india masomoni, unachotakiwa kufanya ni kuwa na Receiver box tu....hauhitaji hata kuwa na dish, kwani hata mwamvuli tu unatosha kunasa channel zote za DSTV. Sasa hii njia ni nzuri kwani unakamata channels unazozitaka 'plus' taarifa za kiintelegensia zinazotumika kwa satellite za usalama wa taifa,zinaingiliana na information nyingi sana za kiintelegensia, yule jamaa(mkenya) alikamatwa mara moja alivyoanza tu kutumia, kwani walimtrace wakampata kirahisi sana, sasa sijui hapa bongo imekaaje. Naweza nikakupa techniq kuanza hii kitu lakini ni for ''YOUR OWN RISK''. Na kwa ushauri tu, usitumie hii kitu kwa kufanya biashara!!hii ni kwa home use only!!! Same way ukiwa mkoani ni nzuri zaidi kuliko ukiwa hapo Dar es salaam. Let me think twice...muda mfupi naweza kumwaga mauujuzi hapa jamvini.
Sikia ''mzeewaLoliondo'' hii kitu ni possible...mimi nilifundishwa na kijana mmoja wa kikenya wakati nipo india masomoni, unachotakiwa kufanya ni kuwa na Receiver box tu....hauhitaji hata kuwa na dish, kwani hata mwamvuli tu unatosha kunasa channel zote za DSTV. Sasa hii njia ni nzuri kwani unakamata channels unazozitaka 'plus' taarifa za kiintelegensia zinazotumika kwa satellite za usalama wa taifa,zinaingiliana na information nyingi sana za kiintelegensia, yule jamaa(mkenya) alikamatwa mara moja alivyoanza tu kutumia, kwani walimtrace wakampata kirahisi sana, sasa sijui hapa bongo imekaaje. Naweza nikakupa techniq kuanza hii kitu lakini ni for ''YOUR OWN RISK''. Na kwa ushauri tu, usitumie hii kitu kwa kufanya biashara!!hii ni kwa home use only!!! Same way ukiwa mkoani ni nzuri zaidi kuliko ukiwa hapo Dar es salaam. Let me think twice...muda mfupi naweza kumwaga mauujuzi hapa jamvini.