Houth waanza kumiliki makombora ya Hypersonic

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,204
10,949
Takriban wiki tatu zimepita tangu wanamgambo wa Houth watangaze wanakusudia kutoa habari ya kushtua nyoyo.

Habari hiyo haikufahamika hata pale nyaya mbili za data za intaneti za chini ya bahari ziliponyofolewa ambapo wanamgambo hao hawakutoa taarifa yoyote ya kuhusika kwao kama wanavyofanya kila siku pindi wanapozilenga meli zinazopita bahari nyekundu

Hatimae shirika la habari la Urusi ,Novost limetangaza kuwa wanazo taarifa kuwa wanamgambo wa Houth wanamiliki makombora hatari ya hypersonic kwenye hazina ya silaha zao.

Report claims Yemen's Houthis have a hypersonic missile, possibly raising stakes in Red Sea crisis​

 
Yale yale tunayowaambiga, kwa hiyo kwa akili yako Houth ndo wanaweza kutumia hizo misile ambazo zimeonyesha udhaifu mkubwa huko Ukraine? Kwani US, Israel hana? Wakianza kutandikwa na cluster bombs msije kulia tena ceasefire, ceasefire, ceasefire, Israel alishasema vita itaisha endapo hamas wataachiwa mateka na kusalimu amri , wao hawasikillizi kelele za ceasefire huko nchi iko vitani, taratibu za ceasefire ni kunyosha mikono na kuomba mazungumzo ya amani yafanyike kwa pande zote 2. Siyo ceasefire huko unasema Israel iondoke mashariki ya kati.
 
Yale yale tunayowaambiga, kwa hiyo kwa akili yako Houth ndo wanaweza kutumia hizo misile ambazo zimeonyesha udhaifu mkubwa huko Ukraine? Kwani US, Israel hana? Wakianza kutandikwa na cluster bombs msije kulia tena ceasefire, ceasefire, ceasefire, Israel alishasema vita itaisha endapo hamas wataachiwa mateka na kusalimu amri , wao hawasikillizi kelele za ceasefire huko nchi iko vitani, taratibu za ceasefire ni kunyosha mikono na kuomba mazungumzo ya amani yafanyike kwa pande zote 2. Siyo ceasefire huko unasema Israel iondoke mashariki ya kati.
Unajua hata cluster bombs ni nini!?
 
Unajua hata cluster bombs ni nini!?
Najua vizuri sana, hyoersonic missile ya Russia hata USA, Israel wanazo lakini hawaziiti hypersonic ni missiles zenye speed kali, Rusia alizitumia lakini zikawa zinadakwa huko Ukraine hata Rusia wenyewe walishuka na kumuuliza mtaalamu aliyetengeneza hayo makombora, kwa sababu bomu la hypersonic huwa halidakwi. Kwa hiyo matarajio yenu ni houth kuiangusha Israel au USA?
 
Najua vizuri sana, hyoersonic missile ya Russia hata USA, Israel wanazo lakini hawaziiti hypersonic ni missiles zenye speed kali, Rusia alizitumia lakini zikawa zinadakwa huko Ukraine hata Rusia wenyewe walishuka na kumuuliza mtaalamu aliyetengeneza hayo makombora, kwa sababu bomu la hypersonic huwa halidakwi. Kwa hiyo matarajio yenu ni houth kuiangusha Israel au USA?
Swali langu lilikua cluster bombs,ikiwa unazijua,hypersonic ni mjadala mwingine,yaani urusi waweke silaha kwenye ghala lao bila kujua nguvu na udhaifu wake!!
 
Najua vizuri sana, hyoersonic missile ya Russia hata USA, Israel wanazo lakini hawaziiti hypersonic ni missiles zenye speed kali, Rusia alizitumia lakini zikawa zinadakwa huko Ukraine hata Rusia wenyewe walishuka na kumuuliza mtaalamu aliyetengeneza hayo makombora, kwa sababu bomu la hypersonic huwa halidakwi. Kwa hiyo matarajio yenu ni houth kuiangusha Israel au USA?
Huu uongo umeupata wapi?
Ni lini USA akawa na hypersonic missile?
Walifanya test mwaka Jana wakafeli.

Speed Kali kwani Cruise Missile Haina speed?
 
Swali langu lilikua cluster bombs,ikiwa unazijua,hypersonic ni mjadala mwingine,yaani urusi waweke silaha kwenye ghala lao bila kujua nguvu na udhaifu wake!!
kwahiyo unajitoa ufahamu kuwa zilitumika ndani ya weak Ukraine , je zilibadili nini ?
 
Huu uongo umeupata wapi?
Ni lini USA akawa na hypersonic missile?
Walifanya test mwaka Jana wakafeli.

Speed Kali kwani Cruise Missile Haina speed?
subir tu si unahis USA ni kama hizo serikali za kijamaa zinazopenda kupika data , silaha ukiisikia kwenye media ni tofauti na uhalisia
 
huu uvumilivu huwa mnautoa wap ? mbona huku kwenu mmeshindwa hata jipa muda kuendesha bandari yenu ? hv hukuona kuwa yalitumika Ukraine ?
Huko ni huko na mtoa report yupo buza tena sii tu Buza ila kwa mabaharia wa Buza 😃ya huko anayasimulia,huoni kamba hizo😁
 
subir tu si unahis USA ni kama hizo serikali za kijamaa zinazopenda kupika data , silaha ukiisikia kwenye media ni tofauti na uhalisia
Tofauti yake ni nini?

Kwamba kwenye media Italia kaboom ila uhalisia italia kapati!

Ninyi ndio wale mnaoamini kwenye ubora wa western weapons kama propaganda zao zinavyosema.
 
Takriban wiki tatu zimepita tangu wanamgambo wa Houth watangaze wanakusudia kutoa habari ya kushtua nyoyo.

Habari hiyo haikufahamika hata pale nyaya mbili za data za intaneti za chini ya bahari ziliponyofolewa ambapo wanamgambo hao hawakutoa taarifa yoyote ya kuhusika kwao kama wanavyofanya kila siku pindi wanapozilenga meli zinazopita bahari nyekundu

Hatimae shirika la habari la Urusi ,Novost limetangaza kuwa wanazo taarifa kuwa wanamgambo wa Houth wanamiliki makombora hatari ya hypersonic kwenye hazina ya silaha zao.

Report claims Yemen's Houthis have a hypersonic missile, possibly raising stakes in Red Sea crisis​

Wawe nalo ungekuta washalirusha Israel
 
Back
Top Bottom