Houston wakataa Taarifa za Uongo kuhusu Ziara ya Nape

Mimi nimekaa hapa Houston kwa miaka 14 sasa na nimekuwa kwenye JF tangu 2006. Ukweli ndugu zangu ni kwamba hawa wanaojiita wana CCM ni wachache waliochoka maisha hapa. Ukweli ni kwamba ni loosers wa hapa Houston wanaotafuta njia za kwenda bongo na kwenye community yetu ya watu kama 500-1000 labda wapo kama 25 tu. Nape amekuja kupumzika hakuna siasa itakayofanikiwa USA labda DC na Columbus. Lakini advance community kama ya Houston never
 
nimejaribu kuangalia kwa umakini sana hiyo post hapo juu, kinachoonekana ni mgongano wa kiitikadi baina ya ccm na oppositions, mwandish wa mwanzo analaumiwa kwa kusema watu walioko diaspora walikubaliana na nape juu ya utendaji wa serhkali, who are they by the way mpaka wakubaliane na nape na kutuaminisha kuwa serikali inatenda sawa? Then leo kinakuja kikundi kingine kikikanusha kuwa nape hakukutana na wanajamii ya houston bali ni wanachama wachache wa ccm ila anachokisahau na yeye pia anatumia kivuli hicho hicho cha jamii ya houston bila kujua ni mchanganyiko wa wapenzi wa ccm and oposition of ccm.
Ushauri:
wana diaspora wa houston hawawezi kutatua matatizo yetu ila ni sisi wenyewe tunaoish tz ndo tutakao tatua matatizo yetu.

Tujaribu kuweka record sawa, nia ya muandishi ni kutaka jamii ya Watanzania kujua kuwa sio wote walioko kwenye Tanzania-HOUSTONCOMMUNITY wanakubaliana Nape na CCM kwa ujumla. Huyu mmoja kati ya member wa hii community ana dhamira ya kuujuza ulimwengu kuwa ndani ya community yao kuna wanaounga mkono CCM na kuna wengine hawataki kusikia habari ya CCM
Muandishi huyu anakusudia kuwajuza waliotoa habari ya kukutana na Nape wajitambulishe kama wanachama wa CCM ndani ya community hii na sio kutumia jina la Community kwa kuzingatia sio wote waliopo kwenye communty hiyo ni wafuasi wa CCM.
 
Mimi nimekaa hapa Houston kwa miaka 14 sasa na nimekuwa kwenye JF tangu 2006. Ukweli ndugu zangu ni kwamba hawa wanaojiita wana CCM ni wachache waliochoka maisha hapa. Ukweli ni kwamba ni loosers wa hapa Houston wanaotafuta njia za kwenda bongo na kwenye community yetu ya watu kama 500-1000 labda wapo kama 25 tu. Nape amekuja kupumzika hakuna siasa itakayofanikiwa USA labda DC na Columbus. Lakini advance community kama ya Houston never
Siasa za magamba hazina nafasi US,labda huko UK.

Siyo wote wanaojali hongo kama wale waliohongwa ili wasiandamane.

Tabia ya mtu ni mtu mwenyewe hata aende wapi.So makapi ya kujipendekeza na kuuza uhuru yapo.Wengine tungetaka kujipendekeza tungefanya hivyo toka bongo.

Kuna watu wana misimamo na uchungu na nchi.Wengine tungekuwa na uwezo tunge wish US ndo iwe Tz.

Hata kama kukiwa kuzuri namna gani,bado wengi wetu hatuwezi kuwa na raha kama nyumbani nako si kuzuri.
 
Wengi wanasumbuka kufahamu hali halisi ya kinachoendelea kwa kua hawajui maana ya neno 'siasa' Tafuteni maana ya hilo neno kwanza, baadae muendelee kubishana kama mtaona ipo haja ya kufanya hivyo.
 
Houston houston tokeni zenu hapa.....tena hamna wasaliti namba moja kama watz waishio nje ya nchi...sisi tunapambana na ufisadi hapa bongo pamoja na kukosoa utendaji wa raisi wetu lakini wao ndo namba moja kumsifia na kumfanyia shamrashamra kibao kila anapoenda kutalii huko, ukiangalia ni msaada gani wanaoutoa kwa ndugu zao nyumbani hamna kitu kazi kujisifia tu wako ulaya/US...

kila mara raisi hatulii nchini kwake japo kuwa kuna matatizo kibao na nyie bado mnamsapoti anapokuja huko, hvi kwanini kila mara anakuja US tu??? inamaana hamna watz waishio msumbiji/zambia/zimbabwe/somalia/sudani/congo etc etc kwanini kila mara anakuja kuwaona nyie wa US tu????

msitufanye sisi ni watoto wadogo, kama elimu mliyonayo haiwasaidii kulikomboa taifa lenu nibora mbakie hukohuko na uraia muutafute wa huko, ka nchi ketu kana matatizo makubwa na nyie hamna hata moja mnalolipigania kazi kujikomba tu kwa wakubwa....

ni bora kuishi tz na ukawa na ufinyu wa uelewa kuliko kuishi marekani alafu ukawa mbumbumbu....
 
minyukano inaendelea Houston angalia ukurasa wa juu uko-Updated. Inabidi Nape aseme ukeli kama habari zinazoeneza na vijana ake ni za kweli au ndio mendelezo wa siasa za maji taka.
 
Mimi nimekaa hapa Houston kwa miaka 14 sasa na nimekuwa kwenye JF tangu 2006. Ukweli ndugu zangu ni kwamba hawa wanaojiita wana CCM ni wachache waliochoka maisha hapa. Ukweli ni kwamba ni loosers wa hapa Houston wanaotafuta njia za kwenda bongo na kwenye community yetu ya watu kama 500-1000 labda wapo kama 25 tu. Nape amekuja kupumzika hakuna siasa itakayofanikiwa USA labda DC na Columbus. Lakini advance community kama ya Houston never
NASHAWISHIKA KUAMINI KUWA WANAHOUSTON(KWA SAMPLE SPACE YA KAMUNDU NA WENGINEO KAMA KINEPI NEPI) MNAMATATIZO MAKUBWA SANA YA AFYA YA UBONGO.,Ni kuwa mnashindwa kutambua kuwa mnaongea nini,wapi,wakati gani na nani mnaongea nae..,ebu fuatilieni maneno yenu mnaweza kugundua how far down u are..! Maneno yenu yandhihirisha ufinyu wa hekima yenu na kujikweza kwenu kama watu bora zaidi miongoni mwa watanzania..,mnatia kichefuchefu....!
 
Hawa watu wa houston nina wasiwasi na akili zao coz kama mimi hata tu kuenda kumsikiliza mtu wa ccm tena nape au kikwete ni marufuku coz nita jeopardise my integrity na credibility yangu. Houston community bora muendelee kula unga tu kama mtaendelea kuassociate na ccm hamna mnachotusaidia mnatupa more pain than hope. Huyu kitongo hastahili kuwa raia wa tanzania.
 
Back
Top Bottom