Housemate is needed in Dar es Salaam

Housemate is needed in Dar es Salaam

mimi nipo tayari sema nikirudi kazini uwe umenitengea chakula na umeniwekea maji ya kuoga, mie nalipa nyingi ujue 3:1. hapo deal litakua fair, au vipi roommate?
 
hiyo laki nne kwa muda gani? mwaka au mwezi?
 
Hahaha sio bure huyu anatafuta mume wa lazima......eti mpange wawili mwanamme na mwanamke nyumba moja.....hata watu wa nje ukiwaambia huyu ni mpangaji mwenzangu hawakuelewi...... by the way sheria ya serikali ni miezi 3 kama sio 6 mkiamka ndani ya nyumba moja kama sio kaka na dada basi mmehalalishwa kisheria.....so vidume jiandaeni baada ya miez hiyo kupata mke kihalali.....goma uone mnavyogawana uchumi wako serikalini.......
 
Hakuna lisilowezekana.
Kama unamaanisha, ni-pm kafoto Kako,
Kwa matokeo ya fasta, Teh.
 
Kweli duniani mambo ni tofauti sana. Kwa nje ya Afrika accomodation ni ishu sana, matangazo kama haya hua ni mengi sana na hayachukuliwi kama "issue". Watu mnashea sebule, jiko na loo, fully kuheshmiana. Hiu naona kwa Tz ni kichina, pole ww mtaftaji
 
Kweli duniani mambo ni tofauti sana. Kwa nje ya Afrika accomodation ni ishu sana, matangazo kama haya hua ni mengi sana na hayachukuliwi kama "issue". Watu mnashea sebule, jiko na loo, fully kuheshmiana. Hiu naona kwa Tz ni kichina, pole ww mtaftaji

Jerrymsigwa umesema kweli kabisa, ila sasa umesoma condition yake ya kuwa yeye analipa laki afu housemate wake analipa tatu. Hapo ndio kaleta utani, maana Nyumba ina bed rooms mbili leaving room, jiko na Choo. sema nini majibu ya humu ndani yamenichekesha sana.
 
Jerrymsigwa umesema kweli kabisa, ila sasa umesoma condition yake ya kuwa yeye analipa laki afu housemate wake analipa tatu. Hapo ndio kaleta utani, maana Nyumba ina bed rooms mbili leaving room, jiko na Choo. sema nini majibu ya humu ndani yamenichekesha sana.

Nahisi hapo alikua anaJoke, sidhani kama 3:1 ni sawa
 
Kweli duniani mambo ni tofauti sana. Kwa nje ya Afrika accomodation ni ishu sana, matangazo kama haya hua ni mengi sana na hayachukuliwi kama "issue". Watu mnashea sebule, jiko na loo, fully kuheshmiana. Hiu naona kwa Tz ni kichina, pole ww mtaftaji
watu washamba tu mkuu mambo ya kawaida sana duniani kushare nyumba..huku bongo mtu yupo mwenyewe anaona sifa kulipia nyumba nzima millioni...siku akifulia ndo anajuta
 
watu washamba tu mkuu mambo ya kawaida sana duniani kushare nyumba..huku bongo mtu yupo mwenyewe anaona sifa kulipia nyumba nzima millioni...siku akifulia ndo anajuta


umeongea kweli dada angu. Naona suala hili bado ni geni kwa Tz.

Mbona mimi na missyrose tunashea nyumba nzima maeneo ya Tandale na tunaishi kwa 'raha' mustarehee. Mchana kila mtu na hamsini zake kwenye mishe, jioni tukirudi tunashea na 'chakula cha usiku' ili kupunguza gharama za kwenda 'kula nje'.

Tunaelewana sana na huyu housemate wangu missyrose a.k.a sweet dada, na Life linasonga mukide kabisa. teh teh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom