Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
pole sana
hii usiwe km kawaida kwa wanaume wote,
vip utaruhusu mdogo wako wa kike aje akae kwako, ambae unahis analipa kuliko ww?
Unafikiri ni swala la kulipa basi, ni udhaifu tu wa baadhi ya wanaume. Note nimetumia neno BAADHI. Lakini na micharuko ya mabinti, kwa case ya msichana wangu wa kazi; alikuwa ni mtegaji mzuri tu, kanga moja and the like.
Anyway, mleta mada. Wasichana wazuri nao wana haki ya kufanya kazi, na mwanaume kama ni kitombi, sura au muonekano sio kigezo sana; kwake yeye kila shimo ni sehemu ya hifadhi. So wewe unamjua vizuri mumeo, kama ni dhaifu ni bora usiwe na mdada wa kazi kabisa. Tafuta mvulana au mbibi wa kwenda na kurudi.
Hao wanaokwambia anakutana nao hata njia, usiwasikilize. Wa ndani ni rahisi zaidi tena haihitaji kujificha hotel au kuingia gharama kubwa za dinner na vingine kama hivyo. So chukua hatua stahiki.