Housegirl

Housegirl

Nimeajiri housegirl ila sina amani sana mana mie nafanya kazi na Mr ni business man anatoka baada yangu na msichana ni bomba ila yuko poa anafanya kazi je kutakuwa na usalama BAADA YA MIMI KUTOKA
Have a system in place to ensure that everything is otherwise mambo yanaweza kuharibika maana sisi akili zetu inapofika issue hizo zinakuwa kama za panzi tu.
 
naona unajaribu sumu kwa kulamba!!imewagharimu wengi sana
 
jamni tego sii lipo wee nenda katafute...alafu kama umeshaona hg analipa y umemuajiri?
 
HUJIAMINI KIASI HIKI?
hivi kwanini huwa mnapenda kuwapa hawa mhg safu ya upinzani kiasi hiki?
 
Ya nini ujipe presha mamito??

Kama unaona uwepo wa huyo hg nyumban kwako ni tishio, na kama huyo hubby wako hasomeki someki, rudisha kwao huyo hg utafute ambaye hatakupa presha..!
 
Na wanaume wajanja hubandua mahg wasio vutia kuliko wanaovutia as he knws hatatiliwa shaka kipindi chote! Jiangalie usijemrudisha huyo mzuri ukaleta mbaya ndo akakupindua live! Teh!
 
Thanks wadau kwa ushauri nitaufanyia kazi, I think niwe tu makini all God knows
 
Nimeajiri housegirl ila sina amani sana mana mie nafanya kazi na Mr ni business man anatoka baada yangu na msichana ni bomba ila yuko poa anafanya kazi je kutakuwa na usalama BAADA YA MIMI KUTOKA

muite, uongee naye kama binti yako halafu umwambie jinsi gani unamuona kama binti au mdogo wako na umwambie jinsi gani wanaume wanakuwa dhaifu; so awe makini just in case baba anaanza kumwangalia kwa macho ya uchu. Muibie siri kuwa 'mumeathirika' na kwamba hupendi naye awe victim.
 
hiv unafikir ww ulikuwa mzur kuliko wanawake wote mpaka akakuoa ww?

hapa mnatudhalilisha sie wanaume as if hatuwezi jicontrol,

mbona kila mahali tunakutana na wanawake lakin hatuwalali?

Akina mama/ dada jiamini kuwa mnapendwa jaman
 
muite, uongee naye kama binti yako halafu umwambie jinsi gani unamuona kama binti au mdogo wako na umwambie jinsi gani wanaume wanakuwa dhaifu; so awe makini just in case baba anaanza kumwangalia kwa macho ya uchu. Muibie siri kuwa 'mumeathirika' na kwamba hupendi naye awe victim.
hapo kwenye red

atauza cd mtaan, alaf baba asikie hg anatangaza wameathirika!!!
amweke kati hg akubali kuwa ww ndo ulimwambia, patachimbika aisee!!!
 
hapo kwenye red

atauza cd mtaan, alaf baba asikie hg anatangaza wameathirika!!!
amweke kati hg akubali kuwa ww ndo ulimwambia, patachimbika aisee!!!

Ha ha ha, kwani wakitangaza halafu sio kweli kuna shida gani? LOL
 
hiv unafikir ww ulikuwa mzur kuliko wanawake wote mpaka akakuoa ww?

hapa mnatudhalilisha sie wanaume as if hatuwezi jicontrol,

mbona kila mahali tunakutana na wanawake lakin hatuwalali?

Akina mama/ dada jiamini kuwa mnapendwa jaman

Nilikuwa najiamini hivyo hivyo mpaka msichana wangu alivyoondoka na mimba, ambapo sikuhisi kabisa; jamaa ninayemliza kila siku kuwa ndiye aliyemmimba.
 
Nilikuwa najiamini hivyo hivyo mpaka msichana wangu alivyoondoka na mimba, ambapo sikuhisi kabisa; jamaa ninayemliza kila siku kuwa ndiye aliyemmimba.
pole sana
hii usiwe km kawaida kwa wanaume wote,

vip utaruhusu mdogo wako wa kike aje akae kwako, ambae unahis analipa kuliko ww?
 
Je humwanini mumeo? Mumeo ni kicheche?
Kama mumeo ni lambalamba imekula kwako but kama mumeo ni mwaminifu basi atamchukulia hg kama mtoto ila cha msingi wewe kama mama wa familia na kama mke timiza wajibu wako kwa mumeo sio kila kitu umuachie hg. Vinginevyo mama mmh! na hivi umesema yuko bomba.... jitahidi wanasema abiria chunga mzigo wako
 
Back
Top Bottom