Mmh!! Mimi mke wangu hashindi anafanya mikazi yote hiyo unayosema. Na huko ulikofika sio maudhui ya mada yetu.Nyie hamna maana hata kidogo....
Mkeo anaeshinda anakufanyia kila kitu humuonei huruma huyo beki tatu ndo wajitia baba huruma hakuna lolote zaidi ya kuwinda uchi