umeona eeehh!
nilipojifungua mtoto wa kwanza tulikuwa mimi na hubby peke yetu, na home tulikuwa na houseboy....
nakumbuka ile usiku ananipeleka hosp kuna jirani alituona akamwambia mkewe (naona hapa ngoma tayari), wakatuwahi, wakaoffer tuende nao hosp.
usiku huo huo nikajifungua, nikarudi home mchana wake.......... hubby na hb wanapika supu na kubadilisha nepi mtoto.... naoga mwenyewe, navaa mwenyewe, naogesha mtoto wangu mwenyewe
siku ya tatu ndo mdogo wangu (wa kike) akaja kunisaidia.
siwezi toka kwangu nikajifungulie home, uvivu tu, tena na hg yupo? Akandwe kawa unga wa maandazi?
Umekula bingo, mle hg, ptuuu!
he he heeeeeee, baada ya kuzinguana na vitoto sasa nimeamua kuwa na mmama pale kwangu.........Ha haa haa alikuwa anakula vichwa sio?
siku hizi unaletewa housegirl ana Blackberry ....huku mkeo ana Nokia tochi...
housegirl asubuhi anakwambia ' maambo uncle'?
huku kavaa ki pedo lol
huyu mtoto ameshaona hakuna rejection hapo...... yeye ndo ana-dictate terms and conditions........
umeona sasa hapo?
FP mm naweza kusema wababa wa kileo wana kazi. hivi kweli waweza kumwambia HG aandike matumizi ya ndani kwako?? hivi umewahi kuona mama hayupo kaenda kujifungua akamwacha binti na baba?? hapa nina shaka napo hivi kwani ni kawaida kweli?rafiki kwa kuongezea hapo kwenye bongo movie, kama siyo yenyewe basi huo ni uzembe wa baba.........
inakuwaje hg akawa na guts za kukuandikia barua ya mapenzi baba mwenye nyumba?
ameanzaje kwanza........
na anakuhakikishia hatamwambia mkeo.......yaani kaona possibility ya kukataliwa ni almost 0
sijui labda aje mzee mzima Dark City anifafanulie hili kwa ile lugha yetu ya watu wa kale.....
na wewe rafiki inabidi ule uzi wetu urudi hapa kwa lugha mbali mbali........ mimi najitolea kutafuta wakalimani wa kila kabila
mtani upo? huyu jamaa yakoooo nini!Unatega mtego mwenyewe halafu unastuka!!
he he heeeeeee, baada ya kuzinguana na vitoto sasa nimeamua kuwa na mmama pale kwangu.........
mkwala wa kwanza siku aliyokuja tulimtambulisha humu ndani huyu ni baba na huyu ni mama..... hakuna "uncle/shemeji/kaka/wala binamu" na mimi siyo dada yako, sawa?
hata kama mkubwa kwangu, mimi naitwa mama na baba ni baba........ nisikie shemeji inatamkwa humu
hivi unga wa bagia haukandwi eeh?
ila mwanaume anaetembea na hgeli jamani, mptuuu! Nitamdharau sana bora tuachane. Hgeli ni kama mtoto wako, akiumwa tumbo la hedhi anakuambia unampa buscopan! Na kweli, hadi amuandikie baba barua, lazma kaona anacheka cheka!
ila mwanaume anaetembea na hgeli jamani, mptuuu! Nitamdharau sana bora tuachane. Hgeli ni kama mtoto wako, akiumwa tumbo la hedhi anakuambia unampa buscopan! Na kweli, hadi amuandikie baba barua, lazma kaona anacheka cheka!
hapo sasa....... amepata wapi nguvu za kuandikia baba mwenye nyumba barua?ila mwanaume anaetembea na hgeli jamani, mptuuu! Nitamdharau sana bora tuachane. Hgeli ni kama mtoto wako, akiumwa tumbo la hedhi anakuambia unampa buscopan! Na kweli, hadi amuandikie baba barua, lazma kaona anacheka cheka!
mtani upo? huyu jamaa yakoooo nini!
he he heeeeeee, baada ya kuzinguana na vitoto sasa nimeamua kuwa na mmama pale kwangu.........
mkwala wa kwanza siku aliyokuja tulimtambulisha humu ndani huyu ni baba na huyu ni mama..... hakuna "uncle/shemeji/kaka/wala binamu" na mimi siyo dada yako, sawa?
hata kama mkubwa kwangu, mimi naitwa mama na baba ni baba........ nisikie shemeji inatamkwa humu
ila mwanaume anaetembea na hgeli jamani, mptuuu! Nitamdharau sana bora tuachane. Hgeli ni kama mtoto wako, akiumwa tumbo la hedhi anakuambia unampa buscopan! Na kweli, hadi amuandikie baba barua, lazma kaona anacheka cheka!
umeona eehhh!
yaani sipati picha hg yeyote aje pale home athubutu hata kuvaa sketi fupi akimuwinda baba mwenye nyumba, sembuse kumkonyeza! ataanzia wapi.................
hapo ndugu angalia tu jinsi ya kujirekebisha, maana siwezi kusema fukuza huyo hg, tatizo unalo wewe.
kama mtoto wa 16 years ameweza kukuandikia baria basi ujue una safari ndefu sana, kama hutabadilika imekula kwako.....
na hapo ndo kwaaaza unaanza, maana huyo ni mtoto wa kwanza, lol!
hapo sasa....... amepata wapi nguvu za kuandikia baba mwenye nyumba barua?
kuna baba mmoja alikuwa hajawahi pitiwa na hg......kila hg lazima ampitie. mama alifukuza weeeeeee baadae akaamua imetosha, kamleta mmoja hapo ndo yupo kwa muda mreeeefffuuuuuu
haisaidii aisee. Hivi ulishawahi kuona dada wa jirani anakuamkia shkamoo afu mumeo anamuambia mambo kaka? Hahaha, dunia ina mambo!
we mzee hebu malizia story hapa!Kasije kuwa kalikuwa kachangu mitaa ya uwanja wa Fisi na huko kijijini kamesingizia tu, bali ni kenyeji hapa town.
Nakumbuka mwaka juzi nililetewa house girl ambaye alikuwa ni Bar maid maeneo ya Mbagala na sisi hatukujua na alikuwa na heshima kweli zile za kijijini. tuliishi naye kama miezi miwili,hivi tukijua katokea kijijini na kila akienda sokoni ni lazima ajitande ushungi hasa.
Sasa siku moja nikatembelewa rafiki yangu aishie Mbagala na alipomuona tu alishtuka sana, hakutoka sebuleni na kila akiitwa ili kutumwa alikuwa anatoka lakini uso wake ulitawalaiwa na aibu sana. wakati namsindikiza mgeni ndipo akanijuza kuwa yule binti alikuwa ni Bar maid huko Mbagala na alikuwa anakula vichwa mbayaaa....
Nilipomweleza mke wangu alishtuka sana, lakini tukapanga tuishi naye kwa akili na ikifika mwisho wa mwezi tumruhusu aondoke na tulifanya hivyo lakini hatukumwambia sababu zaidi ya kumweleza kuwa hatuhitaji tena msichana wa kazi.