house boy

Hahahahahaha! Kwan vp ile ndoa imeyeyuka??? Nitumie CV nione kama utafaa kuwa h'boy wangu.

poa nakutumia ,dokezo tu ni kuwa naweza kupika kutandika na kufua nguo zote nyembesi na ambazo sio nyepesi. hapo unasemje?
 
Hapa naanza kukufikiria. Unaweza ukanifaa. Hahahaha! Hapo kwenye kufua nguo nyepesi patakufanya upite bila kupingwa!
poa nakutumia ,dokezo tu ni kuwa naweza kupika kutandika na kufua nguo zote nyembesi na ambazo sio nyepesi. hapo unasemje?
 
Hapa naanza kukufikiria. Unaweza ukanifaa. Hahahaha! Hapo kwenye kufua nguo nyepesi patakufanya upite bila kupingwa!

hahhaha!! assante hapa nishakuwa an uhakika wa kupita bila kupingwa , na napendelea zaidi hizo nguo nyepesi ziwe nyeupe kwa sababu zikiwa ni nyeusi itakuwa sio vizuri, nyeupe zinavaliwa mara moja tu , haya mambo afro anayajua sana
 
kumbe hata kupost humu ndani inabidi ujipange, vinginevyo utaandika vitu unavyoelewa mwenyewe.
 
Kuhusu rangi usijal, hizi nyepesi zangu zote ni nyeupe! Sasa ngoja nishauriane na mshauri wangu then ntakuita kwa interview ya uso kwa uso! Afro D analijua hili lakini??
hahhaha!! assante hapa nishakuwa an uhakika wa kupita bila kupingwa , na napendelea zaidi hizo nguo nyepesi ziwe nyeupe kwa sababu zikiwa ni nyeusi itakuwa sio vizuri, nyeupe zinavaliwa mara moja tu , haya mambo afro anayajua sana
 
kumbe hata kupost humu ndani inabidi ujipange, vinginevyo utaandika vitu unavyoelewa mwenyewe.

na ndio madhumuni ya post yangu, si umeona ushakamatwa? najua hadi hapa huelewi kitu,kuna jukwaa la siasa kule
 
Kuhusu rangi usijal, hizi nyepesi zangu zote ni nyeupe! Sasa ngoja nishauriane na mshauri wangu then ntakuita kwa interview ya uso kwa uso! Afro D analijua hili lakini??

Nawe pingamizi!! We mkuu Ivuga ile dozi yako ya hiv hujaimaliza,una gono lenye umri wa 10 yrs,mkeo alisha wahi kukufikisha kituo cha polisi ushoga, yule mpemba anajiaandaa kuleta posa kwenu na Sl umemdanga mteja wako kuwa we nimjane wakati mimi mmeo nipo na tupo wote mda huu.

Kwa hayo yote naweka pingamizi na ninawasiliana na wakili wangu mpka saa sita usiku kesi itasomwa pale kisutu!!!!!!
 
hahahahaha! We nae umekurupuka! Ivuga kaomba kuwa h'boy wangu, sasa hayo mengine yanakujaje?? Anakuja kufanya kazi tu na sio kama unavyofikiria wewe.
Nawe pingamizi!! We mkuu Ivuga ile dozi yako ya hiv hujaimaliza,una gono lenye umri wa 10 yrs,mkeo alisha wahi kukufikisha kituo cha polisi ushoga, yule mpemba anajiaandaa kuleta posa kwenu na Sl umemdanga mteja wako kuwa we nimjane wakati mimi mmeo nipo na tupo wote mda huu.

Kwa hayo yote naweka pingamizi na ninawasiliana na wakili wangu mpka saa sita usiku kesi itasomwa pale kisutu!!!!!!
 
Kuhusu rangi usijal, hizi nyepesi zangu zote ni nyeupe! Sasa ngoja nishauriane na mshauri wangu then ntakuita kwa interview ya uso kwa uso! Afro D analijua hili lakini??

nangoja , afro d yuko masomoni na haruudi sasa hivi ndio maana nimeamua kutengeneza pesa kwa njia hii
 
hahahahaha! We nae umekurupuka! Ivuga kaomba kuwa h'boy wangu, sasa hayo mengine yanakujaje?? Anakuja kufanya kazi tu na sio kama unavyofikiria wewe.
hahahhaha!! mwenzangu sweety lady unalo aisee, jamaa ni carelessy namna hii, sasa huyu kama nyumba ndogo inatoa/inagawa mtandao wa simu halafu na wewe hugawi si anaweza kuwachanganya ati? hahah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom