Kulikuwa na Mfanyanyabiashara aliyekuwa anaishi na Binti yake, Vijana wengi walimfukuzia yule Binti bila mafanikio.Ndipo Kijana Mmoja akaenda kuomba kazi za ndani, na alipofika akajitambulisha kuwa yeye anaitwa K (yaani ile inayomeza mwenzake).siku moja akapika viazi ambavyo yule Bintui hakupenda kula, basi Kijana K akampelekea yule Binti ale lakini akawa anakataa kwa saa akisema na kulalamika "Mimi viazi sitaki" Baba aliposikia akamwambia Mpe K ale.