mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,724
Kwa walio soma Marekani hasa vyuo vizuri, shule nyingi zinafundisha kutawala jukwaa wakati unafanyapresentation. kama ukifanya hizo presentation for 6 years (undergraduate 4 years graduate 2 years), confidence unakuwa nayo sana tu. Na wakati unafanya presentation unatakiwa usisome sehemu yeyote ile hivyo inabidi nondo zote ziwe kichwani, hakuna desa wala nini. Kwa Obama hizo speech ni muendelezo toka uko nyuma wakati anasoma shule pale Colombia na Harvad Law School.
wacha uongo