Hotuba za John Magufuli vs John Kennedy

Hotuba za John Magufuli vs John Kennedy

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
36,967
Reaction score
68,835
msikilize John Kennedy:




msikilize John Magufuli:



..kwa maoni yangu Raisi wa nchi anatakiwa kuwapa moyo na kuwatia shime wananchi wake kama anavyofanya Raisi Kennedy ktk hotuba yake aliyoitoa Rice University.

..hata ikiwa itabidi "kuwapasha" wananchi wake,Raisi hatakiwi kutumia kauli za kulaumu, kushutumu, au hata kudhalilisha.

..Raisi Kennedy aliwahi kuwapasha wananchi wake alipowaambia "ask not what america can dof for you, but what you can do for your country."

..naamini taifa litafaidika zaidi kama Raisi wetu atakuwa na kuali za kuwaunganisha wananchi na kuwatia shime wa-Tz kufanya mambo makubwa kwa faida ya taifa letu.

cc Mag3, MsemajiUkweli, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Nyani Ngabu, chige, Mdondoaji, Bukyanagandi, Nzi
 
Kuna haja ya kuambiana ukweli kwenye mambo ya kweli.....

Ukweli sio kuambiana unafiki kwenye mambo ya kweli "

Ukiwa mkweli kuwa kweli kwenye pande zote sio kuongea ukweli uku na kule pia unaongea unafiki.......
 
Mtu aliyejaribu kubeep namba na ikapokelewa na kupotelea hukohuko we unadhani ataongea kipi cha maana ?
 
Mtanzania mwenye akili, kama hauna akili speech hii hutailewa hata kidogo.

Mwenye akili.
 
Kuna haja ya kuambiana ukweli kwenye mambo ya kweli.....

Ukweli sio kuambiana unafiki kwenye mambo ya kweli "

Ukiwa mkweli kuwa kweli kwenye pande zote sio kuongea ukweli uku na kule pia unaongea unafiki.......
Kuna namna ya kuongea ukweli
 
msikilize John Kennedy:




msikilize John Magufuli:



..kwa maoni yangu Raisi wa nchi anatakiwa kuwapa moyo na kuwatia shime wananchi wake kama anavyofanya Raisi Kennedy ktk hotuba yake aliyoitoa Rice University.

..hata ikiwa itabidi "kuwapasha" wananchi wake,Raisi hatakiwi kutumia kauli za kulaumu, kushutumu, au hata kudhalilisha.

..Raisi Kennedy aliwahi kuwapasha wananchi wake alipowaambia "ask not what america can dof for you, but what you can do for your country."

..naamini taifa litafaidika zaidi kama Raisi wetu atakuwa na kuali za kuwaunganisha wananchi na kuwatia shime wa-Tz kufanya mambo makubwa kwa faida ya taifa letu.

cc Mag3, MsemajiUkweli, Nguruvi3, Mzee Mwanakijiji, Nyani Ngabu, chige, Mdondoaji, Bukyanagandi, Nzi

Kamwambie maneno hayo na rais wao wa sasa Trump, sio kuleta umbeambea wa kike hapa!
 
Hakuna Kitu sikipendi kama vitu vyakisiasa vya tanzania kuvifananisha na vya dunia ya kwanza.
 
Mtanzania mwenye akili, kama hauna akili speech hii hutailewa hata kidogo.

Mwenye akili.

Wasio na akili ni wale wasiozielewa speech za Magufuli ama kuzielewa lakini kuzitumia vibaya kwa wenye uelewa mdogo!!
 
Daaah!! Unafananisha Scania LBT 111 na Fiat 682 (mbaula) mbona ni vitu havifanani japo yote ni malori!!!
 
Sasa wamarekani wakiona huu uzi utawaambia nini? Kufananisha speech za rais wao na za 'mwendawazimu'.
 
mnafananish brazil v taifa stars, et kwa kuwa zote n tim za taifa
 
Back
Top Bottom