Hotuba ya Zitto Kesho kwa Wandishi wa Habari ndio Kipimo cha Maturity na Vision ya Zitto

Miimo

Senior Member
Apr 7, 2012
106
49
Wana Jf
Nasubiria kwa hamu sana kusikia mh. Zitto ataongea nini hapo kesho na wandishi wa habari. Ila kwa kumsaidia ajue thinkers wote ndio wananchukua muda wa kumpima na kujua namna gani amekomaa kisiasa na ni namnagani ana vision katika safari yake ya siasa. Ningempa ushauri sana akumbuke sio unajibu hoja za kamati kuu tu, hapo yupo kwenye chumba cha mtihani kujua kweli tuna mtu mwenye nia dhabiti, msimamo wa kusimamia ndoto zake na mtu makini wa kusimamia kile anachokiamini.

Mwisho wa hutuba yake, kwangu mimi ndio kitakua kipimo changu cha mwisho kujua kama tuna kiongozi hapo in future katika taifa letu.
Nakutakia kila le heri Zitto kwa hutuba yako, ni haki yako kuongea licha ya kuwa nilitarajia kama hekima ingekuongoza ungesubiri after 14 days ulizopewa na kujua msimamo wa mwisho ni nini wa chama ndipo utoe na wewe msimamo wako ukiwa na reference za kutosha za hiyo issue.
Ni muhimu mh. Zitto kutii hisia zako na kuendelea kama ulivyopanga wanachama na watanzania kwa ujumla wasikie kutoka kwako. Issue jinsi utakavyofikisha ujumbe kwao ueleweke hiyo ndio kazi yako.
 
Wana Jf
Nasubiria kwa hamu sana kusikia mh. Zitto ataongea nini hapo kesho na wandishi wa habari. Ila kwa kumsaidia ajue thinkers wote ndio wananchukua muda wa kumpima na kujua namna gani amekomaa kisiasa na ni namnagani ana vision katika safari yake ya siasa. Ningempa ushauri sana akumbuke sio unajibu hoja za kamati kuu tu, hapo yupo kwenye chumba cha mtihani kujua kweli tuna mtu mwenye nia dhabiti, msimamo wa kusimamia ndoto zake na mtu makini wa kusimamia kile anachokiamini.

Mwisho wa hutuba yake, kwangu mimi ndio kitakua kipimo changu cha mwisho kujua kama tuna kiongozi hapo in future katika taifa letu.
Nakutakia kila le heri Zitto kwa hutuba yako, ni haki yako kuongea licha ya kuwa nilitarajia kama hekima ingekuongoza ungesubiri after 14 days ulizopewa na kujua msimamo wa mwisho ni nini wa chama ndipo utoe na wewe msimamo wako ukiwa na reference za kutosha za hiyo issue.
Ni muhimu mh. Zitto kutii hisia zako na kuendelea kama ulivyopanga wanachama na watanzania kwa ujumla wasikie kutoka kwako. Issue jinsi utakavyofikisha ujumbe kwao ueleweke hiyo ndio kazi yako.

Nitamshangaa zaidi kama atataja suala la udini kama moja ya mambo yaliyomfanya aondolewe CDM. Hilo linaeweka ndiyo silaha iinayotumiwa na CCM katika propaganda zake dhidi ya CDM.Hapo ndipo tutajua kweli alikuwa anatumiwa
 
Safi sana..pengine maoni ya JF yanatosha..Ila angesubiri angalau siku 10 jazba zingemuisha.Hembu akaweke moto vyema ili awahi kuanza maisha mabwa ktk CCM kwa mtaji wa umaarufu aliopewa na CDM ili akajifunze kutafuta umaarufu kwa jasho na sumu ndnai ya CCM.
Umbea na kudowea kwa watu hakuanza leo ndio maana alionya kitu ya mwanyembe,na Chami
 
taarifa zenu tunazo, haya ni maneno ya kundi hilo hilo kwa ajili ya kutafuta waonekane kuwa wana busara ili waendelee kuhujumu chadema, tumesikia mna mpango wa kuomba radhi, mimi sio msemaji wa kamati kuu ya chadema, ila hata kama mkiomba radhi na mkasamehewa, msipoacha tabia mliyoonyesha hamfai kwa ajili ya mabadiliko. Zitto na kitila kama mtakuja kuomba radhi njooni, ila hatutaki kusikia busara zingine za kuanza kujitafutia umaarufu, mmesumbua sana chama, kundi lenu ndio linakuja na mkakati wa kuomba radhi kama mlivyoandika katika tamko ili msifanye maandamano. Kuhusu suala la kuwaambia wananchi warudishe kadi zao za chama, acheni u*ji*nga* wakati nyie hajarudisha kadi zenu. Tukutane serena.
wana jf
nasubiria kwa hamu sana kusikia mh. Zitto ataongea nini hapo kesho na wandishi wa habari. Ila kwa kumsaidia ajue thinkers wote ndio wananchukua muda wa kumpima na kujua namna gani amekomaa kisiasa na ni namnagani ana vision katika safari yake ya siasa. Ningempa ushauri sana akumbuke sio unajibu hoja za kamati kuu tu, hapo yupo kwenye chumba cha mtihani kujua kweli tuna mtu mwenye nia dhabiti, msimamo wa kusimamia ndoto zake na mtu makini wa kusimamia kile anachokiamini.

Mwisho wa hutuba yake, kwangu mimi ndio kitakua kipimo changu cha mwisho kujua kama tuna kiongozi hapo in future katika taifa letu.
Nakutakia kila le heri zitto kwa hutuba yako, ni haki yako kuongea licha ya kuwa nilitarajia kama hekima ingekuongoza ungesubiri after 14 days ulizopewa na kujua msimamo wa mwisho ni nini wa chama ndipo utoe na wewe msimamo wako ukiwa na reference za kutosha za hiyo issue.
Ni muhimu mh. Zitto kutii hisia zako na kuendelea kama ulivyopanga wanachama na watanzania kwa ujumla wasikie kutoka kwako. Issue jinsi utakavyofikisha ujumbe kwao ueleweke hiyo ndio kazi yako.
 
Wana Jf
Nasubiria kwa hamu sana kusikia mh. Zitto ataongea nini hapo kesho na wandishi wa habari. Ila kwa kumsaidia ajue thinkers wote ndio wananchukua muda wa kumpima na kujua namna gani amekomaa kisiasa na ni namnagani ana vision katika safari yake ya siasa. Ningempa ushauri sana akumbuke sio unajibu hoja za kamati kuu tu, hapo yupo kwenye chumba cha mtihani kujua kweli tuna mtu mwenye nia dhabiti, msimamo wa kusimamia ndoto zake na mtu makini wa kusimamia kile anachokiamini.

Mwisho wa hutuba yake, kwangu mimi ndio kitakua kipimo changu cha mwisho kujua kama tuna kiongozi hapo in future katika taifa letu.
Nakutakia kila le heri Zitto kwa hutuba yako, ni haki yako kuongea licha ya kuwa nilitarajia kama hekima ingekuongoza ungesubiri after 14 days ulizopewa na kujua msimamo wa mwisho ni nini wa chama ndipo utoe na wewe msimamo wako ukiwa na reference za kutosha za hiyo issue.
Ni muhimu mh. Zitto kutii hisia zako na kuendelea kama ulivyopanga wanachama na watanzania kwa ujumla wasikie kutoka kwako. Issue jinsi utakavyofikisha ujumbe kwao ueleweke hiyo ndio kazi yako.

Anajua baada ya siku14 nini kitatokea asipojieleza vizuri ni kwanini asifukuzwe uanachama, propaganda zinazohusisha dini ya Zitto haziwezi kuizuia kamati Kuu kufanya kazi yake.
 
Last edited by a moderator:
Tumeshachoka habari za huyu mtu,aende salama kokote anapotaka.hana maturity yoyote,njaa ndio zinamfanya awe kama alivyo

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Siku za mwizi ni _____________
Unajua kuna wakati nilimuona Zitto anajiamini sana, ikanikumbusha wakati nikiwa kijana mdogo, mimi nilikuwa mchezaji mpira maarufu sana, bila mimi eti timu yangu haiendi uwanjani kwa hivyo mara nyingine nilikuwa nafanya makosa fulani kwa makudi halafu wakija wakinieleza najifanya kuzila hivi halafu wananibembeleza sana then naamua kukubali kwa shingo upande then naenda uwanjani. Ikatokea kijana mmoja akahamia kwenye shule niliyokuwa nikisoma, kijana huyo kumbe alikuwa mchezaji hatari tena kwa namba ile ile yangu,, sasa niulize kilichonitokea!!! ndo ile waswahili wanasema nilikoma kulinga!!!

Zitto alijiona bila yeye CHADEMA haipo, akaanza kulinga linga hivi, haonekani kwenye matukio makubwa ya Chama, haonekani kwenye Operasheni mbalimbali za Chama, anajitengenezea safari zake mwenyewe na ambazo haongozani na wenzake, anakuwa kinyume na maamuzi ya wenzake kwa mfano wanapoamua kwa sauti moja kutoka nje ya bunge n.k. Kiburi cha Zitto kilipanda hata zaidi ya kile cha Shetani. Na siku zote mwenye kiburi kikuu ni rafiki wa karibu sana na Shetani na mawazo ya mtu wa jinsi hiyo siku zote ni kutaka kiti cha juu na kumtoa aliyepo kwa mtindo mbaya kama alivyokuwa Shetani!! Kama lilivyokuwa jibu la Mungu kwa Shetani ni kumtupa nje vibaya akiwa anasubiri hukumu yake!! Zitto hapashwi kuonewa huruma hata kidogo kwani tamaa yake haitaisha, kuendelea kumwacha CHADEMA ni kumkosea Mungu!! Mungu aliisha onesha mfano kwa Shetani!!! hakuna kurudi nyuma!!! ni kumtupa nje ili aanze kutengeneza kundi lake upya akiwa nje.
 
Wana Jf
Nasubiria kwa hamu sana kusikia mh. Zitto ataongea nini hapo kesho na wandishi wa habari. Ila kwa kumsaidia ajue thinkers wote ndio wananchukua muda wa kumpima na kujua namna gani amekomaa kisiasa na ni namnagani ana vision katika safari yake ya siasa. Ningempa ushauri sana akumbuke sio unajibu hoja za kamati kuu tu, hapo yupo kwenye chumba cha mtihani kujua kweli tuna mtu mwenye nia dhabiti, msimamo wa kusimamia ndoto zake na mtu makini wa kusimamia kile anachokiamini.
Mwisho wa hutuba yake, kwangu mimi ndio kitakua kipimo changu cha mwisho kujua kama tuna kiongozi hapo in future katika taifa letu.
Nakutakia kila le heri Zitto kwa hutuba yako, ni haki yako kuongea licha ya kuwa nilitarajia kama hekima ingekuongoza ungesubiri after 14 days ulizopewa na kujua msimamo wa mwisho ni nini wa chama ndipo utoe na wewe msimamo wako ukiwa na reference za kutosha za hiyo issue.
Ni hakika wazo kama langu.Ingeonesha uelewa,ukomavu na utii pia kwa maazimio ya kikao utoe tamko baadae.
 
Maturity ya mtu inatakiwa kuonyesshwa pale anapokabidhiwa madaraka makubwa na viongozi wenzie na wanachama waliomuamini ya kuwaongoza wanachama wao na chama chao. Unapopewa madaraka makubwa na kuyachezea kwa kufanya undumilakuwili wa kucheza huku na kule mpaka kusababisha kuvuliwa madaraka umeshaonyesha wazi kwamba ukomavu wa akili yako bado ni mdogo sana. Kamwe maturity haiwezi kuonyeshwa katika mkutano na waandishi wa habari uwe ni wa nusu saa au hata masaa chungu nzima.
 
Kwani jamaa ndio mwenye akili sana kuliko wengine humo CHADEMA? Mbona anaonekana ni overambitious? Angekuwa na mapenzi na chadema angekuwa mvumilivu tu, hadi hao wakuu anaoona wanamzibia njia wang'atuke halafu agombee, nadhani angeaminiwa na wanachadema wote.
 
taarifa zenu tunazo, haya ni maneno ya kundi hilo hilo kwa ajili ya kutafuta waonekane kuwa wana busara ili waendelee kuhujumu chadema, tumesikia mna mpango wa kuomba radhi, mimi sio msemaji wa kamati kuu ya chadema, ila hata kama mkiomba radhi na mkasamehewa, msipoacha tabia mliyoonyesha hamfai kwa ajili ya mabadiliko. Zitto na kitila kama mtakuja kuomba radhi njooni, ila hatutaki kusikia busara zingine za kuanza kujitafutia umaarufu, mmesumbua sana chama, kundi lenu ndio linakuja na mkakati wa kuomba radhi kama mlivyoandika katika tamko ili msifanye maandamano. Kuhusu suala la kuwaambia wananchi warudishe kadi zao za chama, acheni u*ji*nga* wakati nyie hajarudisha kadi zenu. Tukutane serena.

Mimi nasema waondoke tu. Tumechoka.
 
Busara ilikuwa kubaki lakini kwa sasa hilo swala litakuwa gumu. Mission hajakamilika na mtandao umeishiwa nguvu. Hakuna kipya atacho zungumza zaidi ya tunachokijua. Sanasana atakacho kizungumza labda kuondoka na mateka wake a.k.a masalia.
 
Back
Top Bottom