Hotuba ya viongozi wa CHADEMA huko Arusha

Hapa sio mtu anafundishwa hotuba bali tunajaribu kuona ukweli ulioko katika hatua mahsusi zilizochukuliwa na viongozi wa CDM. Je huoni ujumbe unaeleweka kwa wale wanaotakiwa kuvuliwa magamba kwamba wangechukuliwa hatua mapema hali isingefikia hapa iolipo leo. Ndio maana watu wanathubutu kutoa masaa 24 kwa serikali isalimu amri yao.
Mkuu wala usitie shaka ujumbe uliokusudia umefika, achana na wana maghamba kina Gunious Brain, Barubaru na wengine tunajua huyo ni Nape in action. Massage sent hakuna kubisha,umeeleweka wacha wakuu waingie jikoni waje na kitu makini kwa uamuzi makini. Poa tuu mbona wanamaghamba wamepata signal!!!!!!!
 
Mkuu wala usitie shaka ujumbe uliokusudia umefika, achana na wana maghamba kina Gunious Brain, Barubaru na wengine tunajua huyo ni Nape in action. Massage sent hakuna kubisha,umeeleweka wacha wakuu waingie jikoni waje na kitu makini kwa uamuzi makini. Poa tuu mbona wanamaghamba wamepata signal!!!!!!!
Nashukuru mkuu, Ukweli nia yetu ni ustawi wa nchi yetu na mustakabali wake. Wengine wanadhani tuna chuki na chama chochote. Ni kule kuunga mkono haki na ukweli.
 
Ungekuwa unatimiza nguzo ya kislamu ya kufunga usingekuwa na mawazo haya, mwislam swafi hana mawazo kama ya kwako, jitazame upya na ujirekebishe, yaani wewe unashabikia amani wakati watu wanamiliki trilion 3 nje ya nchi na ilhali hospitali zetu zipo hai, mashule balaa na nk, wewe bado unaona tunaamani, umeyaona mambo ya UDa, Jairo na mengine mengi tu wewe bado unahubiri amani!? kweli wewe kijana wewe mrudie mola wako akupe hekma.
<br />
<br />
Unatoka nje ya maada! Kama huna point za kuchangia kaa kimya ni busara zaidi!
 
Mimi naona Godbless Lema ni mnafiki namba one ambapo kama kamati kuu ya Chadema ingekuwa makini walitakiwa wamfukuze Chama kabisa.<br />
<br />
Kwani yeye ndio chanzo kikuu cha mgogoro huo kwani yeye pamoja na kuwa ni Mbunge lakini ni Sehemu ya baraza la madiwani waliofikia muafaka ule ambao chadema wameukana.<br />
Na kama anasema yeye hajui lolote ila baraza la madiwani wa walifanya siri BASI HASTAHILI KUWA KIONGOZI WA WATU SABABU ILI MBUNGE AFANYA KAZI ZAKE VIZURI ANAHITAJI KUSHIRIKIANA NA MADIWANI WAKE. Kwa sababu hizo mbili alilazimika kufukuzwa kabisa ndani ya Chama. Kwani viongozi wanafiki ni khatari sana katika jamii.<br />
<br />
Lakini maamuzi ya kamati kuu hayawezi hata siku moja kuweza kukidhi haja ya wakaazi wa Arusha kwani siku zote <u><b>wananchi wanahitaji maendeleo na sio malumbano.<br />
<br />
</b></u>naamini wazi madiwani hao wakifikisha suala lao mahakamani kupinga kuenguliwa kwao ndani ya Chama na sababu zilizotumika kuwaondoa basi wana nafasi kubwa sana kushinda na kurejeshwa katika nafasi zao kama madiwani kwa Amri ya mahakama.<br />
<br />
Na naamini kuwa kama uchaguzi utafanyika kuziba nafasi za madiwani hao. CCM watashinda viti vyote na hakuna kuwa na muafaka.<br />
<br />
Nimewapenda sana msimamo ulioonyeshwa na madiwani hao katika kusimamia kile walichokusudia.<br />
<br />
Chadema walishindwa kusoma alama za nyakati.
<br />
<br />

unaweza ukawa upo ryt, lakn zingatia haya:

kwanza nahc Lema hana makosa, kwann nasema hvyo?

wakat madiwan wakifikia muafaka, Lema alikuwa wapi? (BUNGENI),

je, hawa madiwan wamevunja kanunu za chama au hawajavunja?
(wamevunja),
kama walicmama kwenye maandamano yakupnga uchaguz wa meya, hadi watu wakaf na wengne kuw vlema, imekuwaje leo kukubali uchaguzi huo huo, eti kwakuw wamepew uongozi(vyeo)?
Hiyo sio sera ya chama makin kama CDM,
hata wakienda mahakaman hawataambulia chochote, kwani kanuni zipo wazi!
And Only wananchi waco na fikra chanya kuhusu HAKI NA DEMOKRASIA Ndio watakaoona cdm wapo wrong. Lakn wana Arusha kama MIMI, (tu)wanajua CDM wanafanya kitu gani! Au wakifany Vnginevyo, itakuwa ni kuiga sera za CCM....

Aluta continua,,,,,
mapambano yanaendelea! Hope u get me!
 
Pamoja na kwamba CHADEMA ni wazuri sana katika kujenga hoja na katika hotuba zao lakini natamani wana JF mjaribu kuweka maoni yenu hapa juu ya mambo ambayo ni muhimu wananchi wakayasikia siku ya Alhamisi. Lengo ni kujaribu kutafakari kwa pamoja kama kuna faida kwa maamuzi yaliyochukuliwa au la. Haya hapa chini ni maoni yangu kwani naamini hatua zilizochukuliwa ni sahihi kabisa.<br />
<br />
1. Sababu ya kutokumtambua meya haikuwa ni kwa kukosa vyeo. Ilikuwa ni ukiukwaji wa taratibu za uchaguzi na kutokuwapo kwa haki.<br />
<br />
2. Pale ambapo madiwani waliokuwa wanapigania haki wanafuatwa na mtu au kikundi cha watu na baada ya hapo ghafla wanageuka na kubadilisha agenda toka kwenye ukiukwaji wa haki na kutokufuatwa kwa taratibu na sheria, na kuishia kuigeuza agenda hiyo kuwa agenda ya kugawana madaraka, basi mtu unaweza kuamini kuwa kuna nguvu nyuma ya jambo hilo. Na endapo chama bado kilijaribu kuwasaidia kujenga msingi wa kusimamia haki, bado chama kikageukwa basi ni rahisi watu kuamini kuwa kuna nguvu nyingine nyuma yao.<br />
<br />
3.Chama makini hakiwezi kuruhusu wanachama wake wachukue hatua ambazo ni kinyume na misingi ya haki, demokrasia na ustawi wa utaratibu na sheria kama ilivyo imani ya chama chao, kisha wao wafuate maslahi binafsi au vyeo.<br />
<br />
a)Hatuwezi kuwa kama wengine wanaosema watavua magamba na kila siku wanaendelea kuahirisha kwa hofu ya kuogopa matokeo yanayoweza kuletwa na maamuzi magumu.<br />
<br />
b) Pale ambapo kwa sababu zisizoeleweka na kwa ghafla wanachama wanabadilisha msimamo basi kunakuwepo na mmomonyoko wa maadili <br />
na hapo inabidi kuchukua hatua hata kama hatua hizo zitakigharimu chama kukosa nafasi ya udiwani, lakini tutakuwa tumejenga na kutetea haki hata kama ni kwa hasara yetu.<br />
<br />
4. Endapo tutashindwa kuchukua hatua basi hatukuwa na haki ya kupiga kelele na kuwashangaa wale wanaoshindwa kuwachukulia hatua watuhumiwa wa ufisadi huku wakiahirisha kila siku. Hatuwezi kuruhusu Gamba kuota kwani tunajua magamba yakiota inakuwa vigumu kuja kuyavua kwani mengine yanaleta hofu ya kutoa damu yakishaachwa kwa muda mrefu.<br />
<br />
5. Ujumbe tunaotaka uende kwa kila mtanzania ni kuwa CDM ni chama kinachosimamia na kutekeleza kwa vitendo misingi ya utawala bora na ufuatwaji wa haki , taratibu na sheria na maadili.<br />
<br />
6. Mambo yanayofanywa kihuni na kwa ubabe hayapaswi kukubaliwa hata kama matokeo yake yana maslahi binafsi kwangu. Ni lazima tuangalie mbali na kusimamisha, kuenzi na kuheshimu utaratibu wa kisheria na kutimizwa kwa matakwa ya demokrasia.<br />
<br />
7. Hatuwezi kuwa kama watu wengine ambao uongozi umewashinda, huku wakitoa matangazo ya kufukuza watu na bado wakipatwa na hofu kila wanapokutana wanaishia kuahirisha maamuzi magumu. Ni lazima chama makini kichukue maamuzi magumu kwa maslahi ya taifa na maslahi ya taifa kwa hili ni kuzuia ukiukwaji wa haki taratibu na misingi ya kidemokrasia katika chaguzi mbalimbali. Ni kuonyesha bayana kuwa heshima sio cheo cha kibinafsi au umaarufu bali ni heshima ni kutimizwa kwa matakwa ya demokrasia. <br />
<br />
TUNAAMINI KUWA WANANCHI WALIOWACHAGUA WALIWACHAGUA ILI WAKADUMISHE DEMOKRASIA HAKI NA UTARATIBU WA SHERIA. WANANCHI WA ARUSHA WAKIWEMO VIONGOZI WA DINI WALIONA UHUNI NA UBABE ULIOFANYWA WAKATI WA UCHAGUZI WA MEYA NA UKIUKWAJI WA HAKI. WANANCHI WALIWACHAGUA VIONGOZI KWA KUKIAMINI CHAMA MAKINI KILICHOWATEUA, NI KWA MISINGI HIYO HIYO WANANCHI HUPOTEZA IMANI KWA CHAMA CHAO PALE AMBAPO WANAGUNDUA KUWA WALIOTUMWA WANAFANYA VIBAYA AU TOFAUTI NA MATAKWA YAO, NA KAMA NI KUWAONDOA NI HADI PALE WANAPOSUBIRI UCHAGUZI MWINGINE. HIVYO CHAMA KINAPOCHUKUA HATUA WANANCHI WAKITUMIA BUSARA YAO WATAONA WAMEPUNGUZIWA MZIGO WA KUNGOJA HADI UCHAGUZI MWINGINE WAKATI WALIOWATUMA WAMEGEUKA NA KUUNGA MKONO UKIUKWAJI WA TARATIBU, HAKI, DEMOKRASIA NA MISINGI YA SHERIA<br />
<br />
NAOMBA KUWASILISHA ONGEZENI HAPA CHINI
<br />
<br />
Lengo la hoja yako ni zuri lakini ndugu hii mambo mnaichukulia kwa mtazamo wa juujuu jaribu kuchima na muone yaliyo nyuma ya Pazia Mh Lema ni Lobbyist Mkubwa sana na ni Mjanja kuliko Delillah ameirubuni CC nayo imeingia Mkenge kuna Mambo ambayo wengi hamyajui lakini yataibuka soon
Subirini mtasikia ngoma ni Mbichi
 
<br />
<br />

unaweza ukawa upo ryt, lakn zingatia haya:

kwanza nahc Lema hana makosa, kwann nasema hvyo?

wakat madiwan wakifikia muafaka, Lema alikuwa wapi? (BUNGENI),

je, hawa madiwan wamevunja kanunu za chama au hawajavunja?
(wamevunja),
kama walicmama kwenye maandamano yakupnga uchaguz wa meya, hadi watu wakaf na wengne kuw vlema, imekuwaje leo kukubali uchaguzi huo huo, eti kwakuw wamepew uongozi(vyeo)?
Hiyo sio sera ya chama makin kama CDM,
hata wakienda mahakaman hawataambulia chochote, kwani kanuni zipo wazi!
And Only wananchi waco na fikra chanya kuhusu HAKI NA DEMOKRASIA Ndio watakaoona cdm wapo wrong. Lakn wana Arusha kama MIMI, (tu)wanajua CDM wanafanya kitu gani! Au wakifany Vnginevyo, itakuwa ni kuiga sera za CCM....

Aluta continua,,,,,
mapambano yanaendelea! Hope u get me!

Suala HAPA sio nani alihusika na ni nani aliitii CC ya CDM. Hata kama Lema na wengine wote wangekosea hiyo isingekuwa shida kubwa. Shida sio kukosea huyu au yule. Shida ni pale ambapo hata baada ya kukosea na kuelekezwa bado ukabakia na msimamo wako mbaya.
Inawezekana kuna wengi waliokuwa wamekubaliana na muafaka lakini walipoonywa wakakubali.
 
Ninachoweza kuwalaumu na kuwatia hatiani Madiwani ni juu ya kukubali muafaka kabla Kesi iliyomahakani haijafutwa au kuisha jambo amalo wangeweza kukaa chini na wakaonywa kwa namna yeyote na kurudi kuubatilisha muafaka lkn si kuwafukuza, Mana kuna namna ya upotoshwaji kwa CC
 
Maamuzi ya cc ya chadema ni sahihi kabisa, na kwa mwongozo wa hotuba hii naamini wananchi wa Arusha wataelewa.
 
Ninachoweza kuwalaumu na kuwatia hatiani Madiwani ni juu ya kukubali muafaka kabla Kesi iliyomahakani haijafutwa au kuisha jambo amalo wangeweza kukaa chini na wakaonywa kwa namna yeyote na kurudi kuubatilisha muafaka lkn si kuwafukuza, Mana kuna namna ya upotoshwaji kwa CC
Nadhani kama ulifuatilia kwenye vyombo vya habari walionywa na hata majibu yao yakiripotiwa katika vyombo vya habari.
 
Maamuzi ya cc ya chadema ni sahihi kabisa, na kwa mwongozo wa hotuba hii naamini wananchi wa Arusha wataelewa.
NASHUKURU SANA
Sababu kuu ya kuweka maoni haya hapa ni kuepuka upotoshwaji unaoweza kufanywa na naamini wengi wanajua ni sahihi maamuzi ya viongozi wa Chadema. Ila nadhani ujumbe mkubwa katika maamuzi haya ni kuhimiza wadau mbalimbali kuchukua maamuzi magumu ili mradi yawe na lengo la kuleta nidhamu, misingi ya haki, uwajibikaji, demokrasia na utumishi kwa wananchi badala ya kutumikia vyeo na nafasi zetu.
 
Hivyo ni vidokezo muhimu sana kwa ajili ya alhamisi
Arusha ni ya chadema tu maana watu wake wako makini
Hili ndio jimbo la mfano kwa wanaotaka kufanya mageuzi ya kweli na utawala bora
Hapa tunachagua chama na si mtu
Hata yule wa TLP alikula hela na baadae akakitaa cheo. Hawa wakina YUDA ESCARIOT ambao walienda hadi kuzika wapendwa wetu waliokuwa wakiwatetea wao ili wapate haki zao
 
Mimi si mfuasi wa chama chochote hapa nchini japo huwa nipo interested na baadhi ya wanasiasa regardless ni wa upande upi. Kitendo cha kuwavua uwanachama madiwani watano wa Arusha siwezi kuyaita maamuzi magumu na kitendo hicho siwezi kukipongeza chama hicho. Ninachokisubiri mimi ni kuona maamuzi kama hayo yanafanyika kwa ndugu yangu msukuma mwenzangu wa shinyanga ndugu shibuda then hapo ndipo nitasema hayo ni maamuzi magumu, kumvua uwanachama diwani si kitendo cha kishujaa ni cha kawaida kabisa.
 
Hivyo ni vidokezo muhimu sana kwa ajili ya alhamisi
Arusha ni ya chadema tu maana watu wake wako makini
Hili ndio jimbo la mfano kwa wanaotaka kufanya mageuzi ya kweli na utawala bora
Hapa tunachagua chama na si mtu
Hata yule wa TLP alikula hela na baadae akakitaa cheo. Hawa wakina YUDA ESCARIOT ambao walienda hadi kuzika wapendwa wetu waliokuwa wakiwatetea wao ili wapate haki zao
Nadhani hilo la waliokuwa wakitetea haki kutendeka wametafsiri walikuwa wakiwatetea wao wapata nafasi mbalimbali.
 
mimi si mfuasi wa chama chochote hapa nchini japo huwa nipo interested na baadhi ya wanasiasa regardless ni wa upande upi. Kitendo cha kuwavua uwanachama madiwani watano wa arusha siwezi kuyaita maamuzi magumu na kitendo hicho siwezi kukipongeza chama hicho. Ninachokisubiri mimi ni kuona maamuzi kama hayo yanafanyika kwa ndugu yangu msukuma mwenzangu wa shinyanga ndugu shibuda then hapo ndipo nitasema hayo ni maamuzi magumu, kumvua uwanachama diwani si kitendo cha kishujaa ni cha kawaida kabisa.

viongozi wa cdm nadhani mmepewa kipimo kwa hilo.
 
Mimi naona Godbless Lema ni mnafiki namba one ambapo kama kamati kuu ya Chadema ingekuwa makini walitakiwa wamfukuze Chama kabisa.<br />
<br />
Kwani yeye ndio chanzo kikuu cha mgogoro huo kwani yeye pamoja na kuwa ni Mbunge lakini ni Sehemu ya baraza la madiwani waliofikia muafaka ule ambao chadema wameukana.<br />
Na kama anasema yeye hajui lolote ila baraza la madiwani wa walifanya siri BASI HASTAHILI KUWA KIONGOZI WA WATU SABABU ILI MBUNGE AFANYA KAZI ZAKE VIZURI ANAHITAJI da
 
Mimi naona Godbless Lema ni mnafiki namba one ambapo kama kamati kuu ya Chadema ingekuwa makini walitakiwa wamfukuze Chama kabisa.<br />
<br />
Kwani yeye ndio chanzo kikuu cha mgogoro huo kwani yeye pamoja na kuwa ni Mbunge lakini ni Sehemu ya baraza la madiwani waliofikia muafaka ule ambao chadema wameukana.<br />
Na kama anasema yeye hajui lolote ila baraza la madiwani wa walifanya siri BASI HASTAHILI KUWA KIONGOZI WA WATU SABABU ILI MBUNGE AFANYA KAZI ZAKE VIZURI ANAHITAJI da

Inaonekana kama hukumalizia hoja yako.
 
Back
Top Bottom