mwanapolo
Senior Member
- Mar 29, 2011
- 193
- 56
@Barubaru. Umejaribu kujenga hoja lakini imekaa kinafiki.
Wakazi wa Arusha ndio wana maamuzi wamchague nani sio wewe.
Madiwani hao 5 walionunuliwa na magamba ndo wako mtaani na hawana nyimbo.
Kwa taarifa chama makini kinataka viongozi quality na sio QUANTITY!
Pole! Naona CDM imewashika pabaya
Wakazi wa Arusha ndio wana maamuzi wamchague nani sio wewe.
Madiwani hao 5 walionunuliwa na magamba ndo wako mtaani na hawana nyimbo.
Kwa taarifa chama makini kinataka viongozi quality na sio QUANTITY!
Pole! Naona CDM imewashika pabaya