Sijaona tatizo la hii speech sema Ndugai ana sahau CHADEMA sio Ccm. Na hawawezi kumsifu kiongozi yeyote wa Ccm ambae hafanyi sawa na matarajio ya Watanzania.Hiyo hotuba sio kwa akili ya kuwafurahisha kondoo wa jiwe, ni ya ukweli mtupu.
Si ndio mwenye account hiyo!Naona unaniota mkuu. Unanimention tu!
Sijaona tatizo la hii speech sema Ndugai ana sahau CHADEMA sio Ccm. Na hawawezi kumsifu kiongozi yeyote wa Ccm ambae hafanyi sawa na matarajio ya Watanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unashindwa kuelewa kuwa waziri mkuu ndiye mtendaji mkuu wa serikali bungeni!So mambi yote hayo waziri mkuu anapaswa kuyatolea majibu!Sio lazima akubaliane nayo,akili zenu sijui ni za wapi?Un
Unaposema kuibua hoja mbali mbali unamaanisha nini? Kub anapojibu hotuba ya bajeti ya PM ndio ndio masuala mbalimbali ambayo hayakutekelezwa yataibuliwa.Na hata hii bajeti mpya 2020-2021 mapendekezo yake yalitakiwa yajibiwe kulingana na PM alivyopendekeza.
Sasa habari ya kurekebisha katiba,mara tulipigwa kidogo tufe mara kuna ukiukwaji wa haki za binadamu, yanatokea wapi?
Subject matter ilikuwa mapebdekezo ya bajeti ya ofisi ya waziri mkuu.
Nasi tunajitolea kupinga upumbavu wenu popote pale!Sidhani kama una nafuu nilizo nazo. Anyway, kama ndo sisi haina taabu tutaendelea kukataa upumbavu wenu humu jf na mitaani; nanyi muendelee kupoza hasira humu jf maana hamna namna njingine.
Kwa hiyo hujaona kitu?Kwa ujinga wako huu, unafaa kuwa mshauri wa jiwe.
Wapinzani wailete hiyo hotuba humu ndani jukwaa hili lenye watu wajuvi wa mambo mengi ili sisi wenyewe tuipime dhidi ya msimamo wa Mh. Ndugai.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha maswali ya papo kwa hapo na ishu ya bajeti. Bajeti ni makadirio ya matumizi ya ofisi waziri mkuu 2020-2021. Kwa ishu ya leo ishu ilikuwa ni bajeti. Hivi Cdm hamna watu walionda shule hata kiasi cha form four?Unashindwa kuelewa kuwa waziri mkuu ndiye mtendaji mkuu wa serikali bungeni!So mambi yote hayo waziri mkuu anapaswa kuyatolea majibu!Sio lazima akubaliane nayo,akili zenu sijui ni za wapi?
Katika hali isiyokuwa yakawaida Spika amezuia hotuba ya msemaji mkuu wa kambi ya upinzani bungeni
Spika amesema hotuba hiyo imejaa upotoshaji
Spika ndugai amesema...
Hotuba hii ya Kambi Rasmi ya Upinzani imejaa makosa karibia kila ukurasa, ina matumizi mabaya sana ya jina la Mhe. Rais na kulituhumu Bunge la 11. Nadhani wangeshirikiana kuiandika pamoja isingefika hapa, mimi siko hapa kutetea chochote.
Kulifanya Bunge kuwa mahala pa uzushi haifai, kwa hiyo kwa mamlaka niliyonayo, sitaruhusu hotuba ya Kambi ya Upinzani kusomwa Bungeni kwa sababu inavunja kanuni kadhaa na hotuba zinazokuja huko mbele zikiwa za aina hii itakuwa hivyo hivyo.
Andika kiswahili tu utaeleweka. On this forum na siyo to this forumHopeless including the one who attached it to this forum.
Ndo maana nimekuuliza kasema makosa yapi? Maana mimemsikiliza Ndugai kasema makosa tu hajayainisha
Upinzani wa hovyo hovyo usio fuata Sheria utajifuta wenyewe labda ufate tu SheriaSerikali ya CCM ifute upinzani tubaki na chama kimoja tuishi kwa amani
Sent using Fly in any Weather.
Inaonekana ni mwaka huu tu ndio umeanza kufuatilia hotuba za kambi rasmi na ni mgeni kwenye shughuli za kibunge za wapinzani!Pamoja na kujadili figures za kibajeti,mambo ya kiutawala huwa ni sehemu ya mjadala katika bajeti!Bajeti inayopitishwa inaenda kusimamia utawala bora,maadili ya viongozi nk!Sasa kama kuna mapungufu lazima yaelezwe ili katika majumuisho waziri mkuu aeleze wamejipangaje kutokana na hoja zilizotolewa!Tofautisha maswali ya papo kwa hapo na ishu ya bajeti. Bajeti ni makadirio ya matumizi ya ofisi waziri mkuu 2020-2021. Kwa ishu ya leo ishu ilikuwa ni bajeti. Hivi Cdm hamna watu walionda shule hata kiasi cha form four?
Bunge letu halijawahi kuwa na spika boya kama huyu.