Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,637
- 26,048
Halafu?Daktari atakuja wodini kwako sasa hivi
Halafu?Daktari atakuja wodini kwako sasa hivi
Kwani kwa unavyojua wewe, msomi ni nani???Kwakweli hotuba imejaa vijembe na upotoshaji tu
Naona mbowe alimwachia mdee ili aisute serikali, hotuba haijaandaliwa na msomi hii.
Msomi huandika kile anachoweza kuthibitisha empirically, ukiona andiko linalokisia mambo, ujue limeandikwa na maamumaKwani kwa unavyojua wewe, msomi ni nani???
Unadhani yule profesa wa jalalani angeweza kutema madini kama haya?????
Sent using Jamii Forums mobile app
Ianze na wewe kabisa!Korona rafiki,fanya mambo!
Naona unaniota mkuu. Unanimention tu!Wewe ni mpumbavu,hotuba ya upinzani bungeni huwa sio kujibu bali kuibua hoja mbali mbali!Wewe UCD akili zako zimepwaya!
Rudi shule ukijifunze kuandika, ukiweza ndio uje uongee na wanaume humu ndani.
Kwangu Mimi hotuba hii ni ya kipuuzi...imejaa majungu na innuendos ....hovyo kabisa....
Ningeshangaa hotuba ya upinzani iliyojaa ukweli wote huo, huyo kibaraka wa Magu asingeizuia.
Hopeless including the one who attached it to this forum.
Hopeless including the one who attached it to this forum.
Mimi sizungumzii hotuba ya wanasaccos bali nazungumzia nilichokiquote hapo!Hiyo hotuba sio kwa akili ya kuwafurahisha kondoo wa jiwe, ni ya ukweli mtupu.
Siku zijazo itabidi mfanye maamuzi magumu muokoe chama nchi Ife Kama Zimbabwe , au muokoe nchi chama kife Kama KANU ya kenya siku hizo zinakujaStawisheni kwanza CHADEMA kama mnao uwezo wa kustawisha nchi.
Kuhudhuria vikao vya bungeSasa bungeni wanaenda kufanya nini?
Kwa ujinga wako huu, unafaa kuwa mshauri wa jiwe.Un
Unaposema kuibua hoja mbali mbali unamaanisha nini? Kub anapojibu hotuba ya bajeti ya PM ndio ndio masuala mbalimbali ambayo hayakutekelezwa yataibuliwa.Na hata hii bajeti mpya 2020-2021 mapendekezo yake yalitakiwa yajibiwe kulingana na PM alivyopendekeza.
Sasa habari ya kurekebisha katiba,mara tulipigwa kidogo tufe mara kuna ukiukwaji wa haki za binadamu, yanatokea wapi?
Subject matter ilikuwa mapebdekezo ya bajeti ya ofisi ya waziri mkuu.