Keshawasafisha polisi,na yeye ni amiri jeshi mkuu.Kamati ya Nchimbi haina maana na ni upotevu wa pesa za wananchi.
Pili, since hajaonyesha kuwa neutral, ni wazi ni kama ameingilia kazi ya kamati hiyo.
Mwisho, kuna pahala nimesoma akisema kwamba askari aliyuwa tayari keshafikishwa mahakamani, na akasema tu wasiwe wanatumia nguvu za ziada,sasa tutegemee kamati iseme tofauti na yeye?
Kweli rais huyu ni janga la Taifa, na hii miaka iliyobaki hadi 2015 ni mingi sana kwa mwendo huu! Kiukweli ni kama ameilaumu chadema. Kumbe yale yanayozungumzwa humu na kina zomba ndo vile na yeye anaamini? Ukimya wake ulikuwa una walakini.
Ama kweli mh rais ana roho kutu!
If you were twice as smart,you'd still be stupid, and If you really want to know about mistakes,you should ask your parents.kwakua upeo wako wakufikiri hapo ndipo ulipoishia huna sababu yakulaumiwa
Maneno yenu humu ndani siyadharau kabisa kwasababu ndivyo JK anavyoona, hata hotuba yake maneno yamefanana sana na haya yenu humu ndani,pengine nyie ni watu wake wa karibu sana,ama pengine anaweza akawa na id humu maana kwa jinsi alivyo,hilo linawezekana,tena jinsi mna chuki na Slaa,inawezekana ni yeye mlimkosakosa ile siku.Toeni tamko basi,tatizo la CDM mnapenda kudandia issue na kuzifanya kuwa agenda ya chama chenu.Mwangosi alishakufa amezikwa sasa mnataka JK afanye nini au yeye ndie aliemtuma akafanye kazi za chama?
hivi badala ya kupoteza muda kumwangalia kikwete si bora ufungulie katuni ..
Dr. Slaa alisema kwamba huyu jamaa ni janga la kitaifa. Ukweli unaendelea kudhihirika kadri siku zinavyosonga mbele.
Huyu bwana ni habari mbaya!!!!!kiongozi wa nchi anawasifia wazungu kupitiliza, speach yake karibu yote ni kutulainisha tuone ardhi yetu sii mali kama hatutawapa wawekezaji wakubwa wa kilimo na uzalishaji wa mbegu, anayalenga makampuni ya kizungu!!! Huyu mtu ni hatari kwa taifa letu. Hana nafasi ya kuyaongelea ya taifa letu, anasuka dili tukishtuka hatuna ardhi.
Kunatakiwa kuwepo maandamano ya kutokuwa na imani na rais.
Mkulu hakutakiwa awe rais,hilo siyo siri.Rais gani anafanya na kuongea ujinga kama hivi.
Kwanza mwanzoni alitakiwa ayalaani yale mauwaji,awape pole wafiwa.Atoe onyo kuwa matumizi ya nguvu hayatakiwi especially kwa wananchi wasiokuwa na silaha.
Halafu labda aseme wataangalia kuhusu training ya maofisa wa polisi kuhakikisha kuwa wako well equiped kulinda amani na si kufanya mauwaji.
Yeye amesema eti polis hao hawana tofauti na polisi wengine duaniani.Binafsi sijawahi kuona hayo ya polisi kulipuwa wananchi.Na hata ya kuwapiga risasi,huwa hayatokei kwenye shughuli za kisiasa.NI mambo ya crimes etc.
Pia yeye kama rais,ameshindwa kumwajibisha yule kamanda?Mkuu wa polisi wa mkoa?Huyu mtu ni janga kubwa kabisa kwa taifa.
Dr. Slaa alisema kwamba huyu jamaa ni janga la kitaifa. Ukweli unaendelea kudhihirika kadri siku zinavyosonga mbele.
Ameanza kwa kuzungumzia kilimo na mkutano wa arusha ambao ulikuwa wa kuhimiza uwekezaji katika kutumia zana bora za kilimo