Hotuba ya Rais Kikwete Sept 30, 2012

Hotuba ya Rais Kikwete Sept 30, 2012

Eti hatuna sababu ya kushabikia kauli za wenzetu wachache wanaokiuka kamati ya amani

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Polisi nao wanastahili kutendewa haki,tusiwe chanzo cha vurugu,tusiwaongoze wafuasi wetu kufanya fujo
 
Yupo too general ,halafu kama dhaifu wengine wa CCM kuongez vitu kwa kunagalia nyuso za watu katk habari iliyotakiwa aje akiw amaendaa vitu sahihi na vyete utafiti.Anajaribu confuse watu, kwa kwneda mebele na nyuma,anataja amani na mshikamano bila kulaumu waovu wa kweli with clea cut statements.

Anaacha views zake zikihang na kujaribu iweka kwa upinzani na hapa anamaanisha CDM.
 
Mbona kama ana shawishi kutokufanya maandamano na mikutano!

Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
 
bora ulale ama uangalie game ya madrd! unaweza zma na kuvunja tz yko!
 
Kutofautiana kwetu ndiyo iwe daraja la kutuvusha kuelekea kwenye ukomavu wa demokrasia.
 
Oya...Candid Scope leo umenikwaza! Tupo tuliokuwa hai hiyo miaka ya 70 unayoisema hapa na hatukuwa washamba kiivyo. Armstrong tulimwona akishuka kuukanyaga mwezi, ikiwa ni mara ya kwanza binadamu kukanyaga pale? Ilikuwa ni kwa sinema za kitambaa cheupe kwenye gari za Factual Film badala ya cNN lakini si tuliona? Careful with your words Candid Scope... ha ha ha ha

La hasha sijakukwaza, naelezea watanzania wa mwaka 70 si wa leo. Kuhusu ardhi nzuri asituhadae kwamba afrika ndio pekee, kwani tumetembea na kuizunguka dunia na kuona mbivu na mbichi, hawazi kutuhadaa kwamba ardhi nzuri ni afrika tu kama walivyozoea kutudanganya miaka ya 70 wakati watanzania kutoka nje ya mikapa yake hasa kuvuka bara letu iliku ndoto ya kufikirika.
 
Hii nchi ipo kwenye matatizo sasa.

Nchi imepoteza dira na muelekeo na hakuna uongozi wala muono.

Kaazi kweikwei.
 
Najuta kupoteza usingizi wangu bure ! Marehemu Mwangosi kabla haja uwawa kinyama na polisi alisema "Mimi sija shiba kwa maelezo yako" alitoa kauli hii wakati wa asubuhi alipo kuwa anamuliza kamuhanda swali na kupewa majibu ambayo hakuridhika nayo.

Ndiyo ninavyo kwenye hotuba ya raisi! Hotuba yeke ni nyepesi sana kuliko majanga makubwa ya vifo yaliyo likunba taifa!

Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
 
Mbona kama ana shawishi kutokufanya maandamano na mikutano!

Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.

Hashawishi kutokufanya maandamano anashawishi kutokufanya fujo kufikia uvunjifu wa amani. Anashawishi kutowabughudhi wa vyama vingine wanapohudhuria mikutano ya kisiasa. Anashawishi amani na utulivu na kutofautiana kwetu kuwe ni chachu ya kutupelekea kwenye amani zaidi.
 
sasa ndo kaongea nini? Huo mda wa kurekodi hii hotuba angetafuta mtoto mwingine aje ampe uongozi nec
 
Back
Top Bottom