Umeme wa uhakika utapatikana DICOTA sijui? kwenye eneo linalohusu kuchakachua na kulazimisha sifa kwa CCM wasizostahili wanakuwa wa kwanza kutolea maelezo na mikwara lakini mambo ya maana yanayomgusa kila mtanzania ya kila siku kama kutokuwa na huduma za uhakika za maji safi,umeme,kupanda kwa bei za bidhaa mbali mbali,kushuka kwa thamani ya shilingi na mambo mengine ya maana huwasikii wakiyatolea maelezo.
Nahisi dhumuni la hii hotuba ya leo ilikuwa kupiga mkwara wa Igunga basi lakini hayo mengine hayamhusu moja kwa moja Mtanzania anayeishi Kasulu,Mwembetogwa,Marangu au Loliondo.Nchi hii ina safari ndefu sana kufikia matumaini ya kweli,miaka 4 natamani iishe haraka! Hakika Mungu atatupigania na kama taifa tutatoka katika mambo haya ya sifa za kijinga jinga za tuzo na vitu visivyo na maana kabisa!
Hivi mtu wa kasulu ana matatizo kibao unamwambia uraia wa nchi mbili ili iwe nini? angeyafanya hayo kimya kimya tu basi.aaaaaaaaaaaaaaaaaah