Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

Kikwete ahsante sana.

Sasa ondokeni mkafanye kazi zenu za private au mrudi kazini, uamuzi ni wenu, na huko mahospitali tutaanza kuwawekea tathmini ya kujuwa ni nani anaefanya kazi na anastahili kulipwa na nani asiyefanya. Mnalo?

zomba huishi vituko!hivi madaktari wakitaka kulipwa kwa kila mgonjwa anayemuhudumia mtaweza?usitafute makubwa !
 
"Yeye hakuwa mtumishi wa serikali hivyo hakustahili kuwa sehemu ya majadiliano hayo" Hapa alitakiwa aongeze "...ndio maana tukaamua kumu eliminate kabisa ili MAT wakose nguvu"
 
'kwakuwa kesi ipo mahakaman,,,basi tusijadili hili'
dr mwinyi yeye ametulia tu,,,,haongei lolote
 
Nchi nyingine zina maraisi, sisi tuna msanii mmoja kutoka pwani mpenda taarabu.
 
Usichanganye mada. Kama unaweza fanya kazi kama huwezi acha, nenda utakapopata zaidi waachie wengine watakaoona zinawafaa wachukuwe hizo kazi.

Kama wanaona Ubunge unalipa zaidi si waende wakagombee Ubunge? mbona wapo pale wengi walioacha kutibu, nani aliwazuia? au huwajui kina Kigwangallah?

kwa hiyo haya ndio mapendekezo ya kutatua mgogoro huu?unawaambia nini wanafunzi waliopo mashuleni?baada ya miaka kumi huoni tutaanza kuingia gharama za kutafuta madaktari?
Mawazo yako yanaonyesha ulivyo na'' tunnel vision''yaani unachofikiria ni ''haka kamgomo kapite ili tuendeleze kuponda raha''
 
1. kwamujibu wa hotuba hi hakuna makubaliano yaliyofikiwa yote ni nusu nusu

2. kikwete an kinyongo na anategemea kuwafukuza kazi madaktari

3. swala la ulimboka aliache na huo mkono wa pole huko huko abaki nao

4. hotuba imekazania swala la mishahara na swala la kuboresha huduma za afya hajalifafanua vilivyo..nachelea kusem nae ni miongoni mwa wasiojua madai y madaktari..anajua nusu nusu tu
 
Katika Hotuba ya Mheshimiwa Raisi nimeona hii kama tungo tata au sentensi changanya inasema " Hapo tulipofikia si pabaya na tulikubaliana sote kurudi kwenye mkondo wa Sheria kusaidiwa. Kwa nini Serikali imdhuru Dkt. Ulimboka? Na, kuhusu mgomo, Mahakama Kuu imekwishatoa amri ya kusitisha mgomo. Anayekaidi amri ya Mahakama ananunua ugomvi na mhimili huo wa dola ambao wenyewe una mamlaka ya kumtia adabu mtu huyo. Hivi baada ya kufika hapo Serikali iwe na ugomvi na Dkt. Steven Ulimboka kwa sababu ipi na jambo lipi hata iamue kumdhuru?"...............Kazi ipo Jamani ameshamaliza
 
Juma mgaza ndo nani. kwa hii hali hotuba ni laini sana.
 
"Yeye hakuwa mtumishi wa serikali hivyo hakustahili kuwa sehemu ya majadiliano hayo" Hapa alitakiwa aongeze "...ndio maana tukaamua kumu eliminate kabisa ili MAT wakose nguvu"
angekataa asiingie kwene majadiliano bado mngelaumu
 
Huyu baba kanyimwa busara kweli kweli..khaaa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kwa mujibu ya hotuba hii kiwete anahusika sana na kilichomtokea Dr. ulimboka...anajifnya kuongea kwa machungu na kuguswa lakinih hovyo ...''Ni kweli kwamba yeye si mtumishi wa Serikali, hivyo hakustahili kuwa sehemu ya majadiliano haya. Kulikuwa na rai ya kutaka asiwepo, lakini nilisema wamuache maadam Madaktari wanamuamini kuwa anaweza kuwasemea vizuri zaidi kuliko wao wenyewe walioajiriwa na Serikali.''
 
Who is he fooling??!?he can't even lie properly.

Nakumbuka wakati clouds fm wanamhoji,wakati wa ukingo wa kampeni za 2010,hapo daktari wa kweli W.P. Slaa amemkalia kooni..alishindwa kuzungumza huyu.kwa mara ya kwanza alipata kigugumizi kikali mpaka nikamuonea huruma.Asingeweza kuzungumza huu uongo akiwatizama watanzania,seuze kamera za kurekodia.

Ati kwanini serikali imdhuru dokta ulimboka.mbona sasa ameitoa wazi sababu ya kumdhuru hapo kwenye aya ya mwisho??

Dhaifuuuuuuu!!..hata hapa.
 
Laiti kama angeisoma live ingenoga sana, lakini nasikia mkuu anaumwa na ndiyo maana ameshindwa kuisoma hotuba jana.
 
Back
Top Bottom