Hotuba ya JK leo vipi?

Hotuba ya JK leo vipi?

Ugonjwa upi mkuu? Ule wa kuanguka?.....

Naam jk alianguka ghafla wakati akijiandaa kwa hotuba. Taarifa zinadai hiyo ilitokana na uchovu wa safari na kazi nyingi. Anawafikiria sana wtz. Ila afya yake inaendelea vizuri leo anaweza kusoma hotuba jioni.
 
Naam jk alianguka ghafla wakati akijiandaa kwa hotuba. Taarifa zinadai hiyo ilitokana na uchovu wa safari na kazi nyingi. Anawafikiria sana wtz. Ila afya yake inaendelea vizuri leo anaweza kusoma hotuba jioni.

Duuh kuwafikiria Watanzania ndio uanguke..! Atatuhutubia au atatusomea hotuba? kama kusoma tu si angempa hata Wassira atusomee!
 
Lini sasa ataongea manake tangu juzi watu wanasubiri mara leo imeshindikana. Tunasubiri kupata mambo mazuri toka kwake.


Naona komenti nyingi watu wanasubiri hotuba ya jk wakati jana kuna thead imetolewa hapa wanadai hawana muda wa kumsikiliza jk, tuwaeleweje nyie watu??? mnataka nini hasa?? mfanyiwe nini ili mridhishwe matakwa yenu????
 
Salva Rweyemamu uko wapi na maandishi yako ya herufi kubwa?! (read kupiga kelele jamvini)

Salva tunaomba tena press release!
 
Mimi nadhani kuna makundi hapa, la kwanza limemgeuza j.k kama mwigizaji, ndio maana wanaulizia kwa hamu sana hayo maigizo yake, kundi lingine la mambumbu wasiojua ulimwengu uko wapi lakini nao wanahaki ya kusubiria. Kundi lingine ni la watu makini sana na hawahitaji hata hayo maigizo yake.

hahahaha watu makini kama mimi hapa na wewe uko kundi gani?
 
Mm n mpenzi wa maigizo lakini maigizo yake hayanaga funzo ndani yake.hvy sina muda wa kuyasubiria kuyasikiliza
 
Back
Top Bottom