Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,090
......Mh!!!
....siku hizi kufura fura tuuuu....
...ntakuletea ukwaju na malimao!!!!
Mkuu nahisi huyu Simiyu yetu ni mja mzito....! Yeye kuwaka waka tu bila mpango.!
......Mh!!!
....siku hizi kufura fura tuuuu....
...ntakuletea ukwaju na malimao!!!!
......eeehh!!!Mkuu nahisi huyu Simiyu yetu ni mja mzito....! Yeye kuwaka waka tu bila mpango.!
hivi unafikiri JK kuongea kwake ni tabu? subiri tu uone atakavyoporomoka na hoja za msingi
nini kimetokea hadi rais atoe hotuba mbona sielewi.kuna uzi ulipita hapa jana
kueleza kuwa jk leo atalihutubia taifa kwa mwenye kujua kinachoendelea
atujuze
JK alijua leo mdahalo nini?
Kweli jk ni kipenzi cha watu unaona jinsi gani watu wengi wanavyosubiri hotuba yake.
...aah acha kumtania bosi wako,umekua wewe,hotuba za kuandaa kwa vikao sizifagilii hata siku moja na ndo maana zinamakosa sana ya takwimu. Vichwa vichache vinavyoweza kushuka nondo na hotuba ikakamilika, mmoja wao ni dr. Slaa...
Bavicha hajifichi utamjua tu.
Hata mpoki wa comedy hupendwa na wengi katika kipindi chao japokuwa anachokiongeaga ni upuuzi mtupu.