Hotuba ya JK leo vipi?

Hotuba ya JK leo vipi?

Sasa Ma CCM yanategeana...
Looks like JK yuko dillema kwenye mswada uliopoitishwa kinazi na wabunge wake.
Now tayari anajua nini msimamo wa Warioba na at the sametime kuna Mijitu ndani ya CCM inamshinikiza kuusaini Muswada.
Hii inaitwa Personal Conflict...
Lets see.
 
Kama Mwenyekiti wako anavyovurugwa muda huu mpaka anatucheleweshea hotuba....!
Nenda mkamuage dada mliyemuuwa anaagwa sasa hivi kkkt wazo mamtu mnaroho mbaya kama nini kazi kuuwa wenzenu tu ngoja muwamalize sijui mtamuongoza nani.
 
Sasa Ma CCM yanategeana...
Looks like JK yuko dillema kwenye mswada uliopoitishwa kinazi na wabunge wake.
Now tayari anajua nini msimamo wa Warioba na at the sametime kuna Mijitu ndani ya CCM inamshinikiza kuusaini Muswada.
Hii inaitwa Personal Conflict...
Lets see.
Jamani nimesema tangu mwanzo kuwa jk kasaini mswada mbona hamuelewi,kasaini jana kabla ya kwenda pwani.
 
wanasubiriwa wazee wa Dar es salaam kutoka mbagala kiburugwa .
 
Nenda mkamuage dada mliyemuuwa anaagwa sasa hivi kkkt wazo mamtu mnaroho mbaya kama nini kazi kuuwa wenzenu tu ngoja muwamalize sijui mtamuongoza nani.

Siku moja moja jitahidi kutumia kichwa kufikiri basi ingawa najua ni task kubwa sana kwako..
 
Hakuna kero yoyote ya kumsababisha atoe tamko ni kelele za wanasiasa wahuni tu.
 
Kwa hiyo yeye kama rais wa nchi na mwenyekiti wa chama kilichopo madarakani hawezi kuwaambia wananchi msimamo wake na kujibu kero zilizojitokeza?

Kama ni hivyo, kuna haja gani ya kuwa na raisi anayefuta upepo?
Sijaona kero yoyote ambayo inahitaji msimamo wa rais au hizi kelele za wanasiasa wahuni wewe ndiyo unaziona kero?.
halafu naona umevurugwa soma mstari wako wa mwisho sijakuelewa ....Anayefuta upepo ndiyo nini kwani upepo unafutwa bavicha shida kweli hata kuandika shida.
 
Nenda mkamuage dada mliyemuuwa anaagwa sasa hivi kkkt wazo mamtu mnaroho mbaya kama nini kazi kuuwa,ku wenzenu tu ngoja muwamalize sijui mtamuongoza nani.

Huyo amekufa kwa mipango ya MUNGU sana sana kilichomuua ni Dhambi ya usaliti,Mshahara wa dhambi ni mauti na ndiyo hayo yamemkuta..! Huwezi kusaliti Taifa la MUNGU kwa tamaa ya vyeo halafu ukabaki salama. R.I.P Grace
 
Sijaona kero yoyote ambayo inahitaji msimamo wa rais au hizi kelele za wanasiasa wahuni wewe ndiyo unaziona kero?.
halafu naona umevurugwa soma mstari wako wa mwisho sijakuelewa ....Anayefuta upepo ndiyo nini kwani upepo unafutwa bavicha shida kweli hata kuandika shida.

Vp nikikipatia na udongo kidogo
 
Kumbuka leo alikuwa pwani kwenye kazi za kiserikali pengine kachelewa kurudi au kachoka ni budi apumzike.

Hivi nikweli amechoka? Unataka kutuambia akitaka kuhutubia taifa yampasa siku nzima kutokufanya kazi nyingine yeye nikushinda ikulu akisubiri kusoma hotuba yake saa2 usiku? Akili yako inafanya kazi vizuri kaka.
 
Back
Top Bottom