Hotuba ya JK leo vipi?

Hotuba ya JK leo vipi?

Sanene

Senior Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
151
Reaction score
17
kuna uzi ulipita hapa jana kueleza kuwa jk leo atalihutubia taifa kwa mwenye kujua kinachoendelea atujuze
 
Kaingia mitini, mamno mengi, washauri wake wanamgeuza geuza hajui aseme nini? Namuonea huruma Jk
 
me mwenyewe nimesubiria... sijaona kitu tena inaonyesha iyo ki2 haipo kabisa
 
kuna uzi ulipita hapa jana kueleza kuwa jk leo atalihutubia taifa kwa mwenye kujua kinachoendelea atujuze

Wako studio na Mzee yusuph,pamoja na Khadija Kopa wanafanya editing,nasikia mipasho ilikosewa!!!!!
 
Kaingia mitini, mambo mengi, washauri wake wanamgeuza geuza hajui aseme nini? Namuonea huruma Jk
 
wenzenu songea ni giza kama kawaida, tunaomba mtujuze yale muhimu hasa katiba! Najua yaliyojiri amerca yatakuwepo tu, lkn kwangu si muhimu sana.
 
Kaingia mitini, mambo
mengi, washauri wake wanamgeuza geuza hajui aseme nini? Namuonea huruma
Jk

hivi unafikiri JK kuongea kwake ni tabu? subiri tu uone atakavyoporomoka na hoja za msingi
 
Kweli jk ni kipenzi cha watu unaona jinsi gani watu wengi wanavyosubiri hotuba yake.
 
Hizo page mbili tatu zinamtoa jasho. Je rasimu ya katiba si itakuwa kasheshe. Ata sign bila kusoma halafu utawasikia wapambe wake wanasema ameshauriwa vibaya. Wanasahau ni yeye huyu huyu aliyesema za mbayuwayu changanya na zako
 
Hizo page mbili tatu zinamtoa jasho. Je rasimu ya katiba si itakuwa kasheshe. Ata sign bila kusoma halafu utawasikia wapambe wake wanasema ameshauriwa vibaya. Wanasahau ni yeye huyu huyu aliyesema za mbayuwayu changanya na zako
Jk hawezi kuongelea swala la rasimu siyo jukumu lake bali ni la tume swala la mswada ni swala la bungeni nalo siyo lake yeye amesaini mswada tangu jana nyie mnapiga porojo.
 
Jk hawezi kuongelea swala la rasimu siyo jukumu lake bali ni la tume swala la mswada ni swala la bungeni nalo siyo lake yeye amesaini mswada tangu jana nyie mnapiga porojo.

Kwa hiyo yeye kama rais wa nchi na mwenyekiti wa chama kilichopo madarakani hawezi kuwaambia wananchi msimamo wake na kujibu kero zilizojitokeza?

Kama ni hivyo, kuna haja gani ya kuwa na raisi anayefuta upepo?
 
Kumbuka leo alikuwa pwani kwenye kazi za kiserikali pengine kachelewa kurudi au kachoka ni budi apumzike.

Ni vema mngekuwa mnatupa updates kuliko kukaa kimya..! Kumbe Kipenzi amechoka?
 
Back
Top Bottom