Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

[h=3]Lowassa ni fisadi wa moyoni, kichwani, na nafsini[/h]

DSC09909.jpg


Baada ya Mkutano wa Serena Hotel, UKAWA Washindwa kumjibu Dr. Slaa zaidi ya kutoa majibu kupitia Tundu Lusi ambayo yameonyesha udhaifu mkubwa sana katika Umoja huo.

Kuna hoja kadhaa ambazo bado UKAWA pamoja na Mgombea wao Edward Lowassa wameshindwa kuzijibu na kubakisha maswali mengi kwa wantanzania wenye fikra na wafikiriaji.

BAADHI YA HOJA ZA DR. SLAA:
1. Askofu Gwajima akasema Lowassa anaungwa mkono na Kanisa la Kilutheri Tanzania, na amehonga maaskofu Katoliki 30 kati ya 34, kati ya Shilingi milioni 60 mpaka 300.

2. Ukitoa uchafu wa chooni kuuweka sebulenu, patanuka zaidi.

3. Lowassa ni fisadi wa moyoni, kichwani, na nafsini. Sijui kama akili yake iko sawa nafikiri anahitaji kupimwa.

Hizi ni baadhi ya hoja ambazo Lowassa na Ukawa/ Chadema wameshindwa kuzijibu kwa ufasaha zaidi ya kutoa mipasho ya kumtukana na kumdharirisha Dr. Slaa.

DSC09913.jpg
 
Mwaka huu ccm watusamehe, tuliwapenda sana lakini upendo wetu kwao ndiyo uliotufanya tufikishwe hapa tulipo.
Sasa nasema tumechoka kwa yafuatayo:-
1. Tumechoka kuona wanafunzi wakikaa chini madarasani kwa miaka 54 huku kila mtoto anapoandikishwa shule mzazi/mlezi kutoa mchango wa madawati.
2. Tumechoka kuona Elimu nchini ikitolewa kitabaka tena kwa bei ghali na ubaguzi wa mikopo ya elimu ya juu kwa kisingizio cha kupata wanafunzi wa sayansi ilihali wote ni watabzania.
3. Tunechoka kwenda hospitali na kukosa dawa miaka nenda rudi bila tatizo hilo kupatiwa ufumbuzi.
4. Tumechoka akina mama kwenda kujifungua na kudaiwa vifaa huku wakilala mzungu wa nne wodini.
5. Tumechoka kila uchao kusikia kashifa za wizi wa fedha serikali kuanzia Tamisemi hadi serikali kuu na hakuna hatua zinazochukuliwa.
6. Tumechoka kusikia Rais wa nchi aliyekabidhiwa dhamana ya kuwalinda watanzania na rasilimali zao kutoka hadharani kifua mbele kutetea uchotwaji wa fedha za umma na kudai siyo za umma.
7. Tumechoka kuona viongozi wakiwajibkshwa na bunge kisha jujitapa ktk vyombo vya habari bila kuchukuliwa hatua.
8. Tumechoka kuona rasilimali alizotujali mungu zikiwanufaisha wageni na viongozi huku wananchi wakibaki masikini.
9. Tumechoka kuendelea kushuhudia mikataba ya kinyonyaji isiyojali masilahi ya nchi.
10. Tumechoka kuona serikali ilipoanzisha mchakato wa katiba kisha kukanyaga maoni ya wananchi halafu wananchi walewale leo ndiyo inakuja kuomba ridhaa ya kurudi madatakani.
Sasa tunataka mabadiliko na ktk kufikia lengo hilo hatusikii Lipumba wala Silaa wala Polepole wanatumwa kusema nini juu ya ukawa. Mungu simama upande wetu ututetee. Amina
 
WATANZANIA WENGI TUMESHAAMUA KUWA HATUTAMCHAGUA LOWASSA KUWA RAIS NA AMIRI JESHI MKUU WA JMT, porojo tunawaachia wapumbavu.
Kama hutaki kasage chupa, changanya na maji kisha kunywa, ni dawa!!

Naona kama umechanganyikiwa vile kila post unatupia utumbo wako huu..
 
Magufuli akaso watu mtwara baada ya slaa kuharibu jana -magufuli katumia wasaniii kibao lakini kamshindwa juma duni hiii sio ccm niijuayo
 
WATANZANIA WENGI TUMESHAAMUA KUWA HATUTAMCHAGUA LOWASSA KUWA RAIS NA AMIRI JESHI MKUU WA JMT, porojo tunawaachia wapumbavu.
Kama hutaki kasage chupa, changanya na maji kisha kunywa, ni dawa!!

Sasa utalazimishaje hisia zako kwa wengine? Pia wewe utaondolewa kwenye payroll.....hata kama unaandika utumbo, ukiupanga vizuri walau tunajua aliyeandika alikuwa serious na yuko makini na kazi yako. Yaani wewe ni mwanamke wa ajabu. Wanawake wenzio ni wastaarabu sana. Watu kama nyie ndo mnavuaga pichu....wakimaliza unaiweka kwenye sidiria kisha unacheza mziki anakuja mwingine anaenda anakamua hivo hivo.
 
KAMANDA MWENZETU INAONEKANA UMEVURUGWA ZAIDI.... heading ya ujumbe tamu lakini message ya ndani Haieleweki... hapo vipi.... ULIKUWA kwenye MAANDAMANO KINONDONI?
 
unaudhi sana we jamaa. najua wewe ni ccm kindakindaki lakini umehamia chadema kwa sababu ya lowasa. najua pia wewe ni miongoni mwa wafaidika wa mabilioni aliyoyagawa lowasa. kama kweli wewe ni mzalendo lazima uitazame kwanza tanzania kabla ya personal interest. leo hii kikinuka humu sio hizo milions ulizogawiwa na lowasa huu umasikini wangu nilionao utakao kuwa na nafasi. wote tutakuwa kwenye tafrani isiyo kifani. siamini hizo hela alizogawa lowasa ametoa sadaka. huyo anaenda kuzirudisha akiwa ikulu. mimi ni mpinzani lakini siwezi kuchukua risk kubwa kiasi hiki kwa ajili ya taifa hili. nimeichoka ccm yako lakini bado sijaichoka tanzania. jitafakari.

Huyu mtu ndiye alikuwa front line kuponda uzi wowote wa CDM, leo hii ghafla kawa mtetezi wa CDM kwa mgongo wa ukawa ,nadhani huyu anaweza kuwa yule CHIZA wa dr
 
TUMPE NCHI NANI....... ACT ndio naona kuna fresh blood! lakini kwengine mhhh ni kuruka maji na kukanyaga Moto! Mungu Ibariki Tanzania...... Mungu Mrudishe DR SLAA kwa njia yoyote ILE!
 
fisadi mr. chin hatujibu upuuzi kwani tunatafuta majibu sahihi ya kero za watanzania. wewe na huyo slaa wako ndio mafisadi wa moyoni, kichwani na nafsini. ni jukumu lake slaa kujipa majibu yeye mwenyewe kwani ameongea yeye. mgombea wetu tumemuelekeza aendelee kusaka kura za watanzania wapenda mabadiliko. Hilo la askofu gwajima atalijibu yeye mwenyewe gwajima na hilo la uchafu wa chooni ndio huyo slaa ametoka chooni amekuja kukinukisha akidhani watu wataziba pua...tulianza na Mungu, tupo na mungu na Tutamaliza na Mungu...Tanzania bila CCM inawezekana oktoba 25.
Lowassa ni fisadi wa moyoni, kichwani, na nafsini



DSC09909.jpg


Baada ya Mkutano wa Serena Hotel, UKAWA Washindwa kumjibu Dr. Slaa zaidi ya kutoa majibu kupitia Tundu Lusi ambayo yameonyesha udhaifu mkubwa sana katika Umoja huo.

Kuna hoja kadhaa ambazo bado UKAWA pamoja na Mgombea wao Edward Lowassa wameshindwa kuzijibu na kubakisha maswali mengi kwa wantanzania wenye fikra na wafikiriaji.

BAADHI YA HOJA ZA DR. SLAA:
1. Askofu Gwajima akasema Lowassa anaungwa mkono na Kanisa la Kilutheri Tanzania, na amehonga maaskofu Katoliki 30 kati ya 34, kati ya Shilingi milioni 60 mpaka 300.

2. Ukitoa uchafu wa chooni kuuweka sebulenu, patanuka zaidi.

3. Lowassa ni fisadi wa moyoni, kichwani, na nafsini. Sijui kama akili yake iko sawa nafikiri anahitaji kupimwa.

Hizi ni baadhi ya hoja ambazo Lowassa na Ukawa/ Chadema wameshindwa kuzijibu kwa ufasaha zaidi ya kutoa mipasho ya kumtukana na kumdharirisha Dr. Slaa.

DSC09913.jpg
 
woooh thats nice ila nanukuu what american people said during their election 'we don't care weather there will be development or not ,we jus wanna show the world that black and white people are all equal''...natamani Tanzania ionyeshe dunia kua CCM sio maisha ya watanzania ,other political parties can lead too !!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom