ngilenengo1
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,275
- 605
Hili la kuambia watu kuwa walibebwa na malori limewaudhi watu wengi sana, hata mimi pia . Yaani ingekuwa yeye ingekuwa ni sawa watu wamekuja wenyewe kwasababu wanampenda, lakini kwasababu ni lowassa watu wamebebwa na malori.. Hivi kweli mzee inafikia mahali anaongea uongo ili kumfurahisha anae mlipa!!
JK anasema ni picha za kuunga na kompyuta, Dkt anasema watu wamebebwa kwa malori, KWELI!! Bora ametoa hii kauli ya UWONGO maana MUNGU hamfichi mnafiki. Hilo ndo limewashtua WATZ na kupuuza yote aliyosema.