Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

Hili la kuambia watu kuwa walibebwa na malori limewaudhi watu wengi sana, hata mimi pia . Yaani ingekuwa yeye ingekuwa ni sawa watu wamekuja wenyewe kwasababu wanampenda, lakini kwasababu ni lowassa watu wamebebwa na malori.. Hivi kweli mzee inafikia mahali anaongea uongo ili kumfurahisha anae mlipa!!

JK anasema ni picha za kuunga na kompyuta, Dkt anasema watu wamebebwa kwa malori, KWELI!! Bora ametoa hii kauli ya UWONGO maana MUNGU hamfichi mnafiki. Hilo ndo limewashtua WATZ na kupuuza yote aliyosema.
 
Doctor watz saivi hatuhitaji kusikia chochote mbali na neno MABADILIKO, ulitokea ccm ukawafanyia mazuri watz kupitia chadema, hata EL tuna imani atafanya hivo hivo!Too late to catch the moving train!

Nilishawaambia kuwa hii mission imefeli hata kabla hajabwabwaja pumba zake iliishajulikana kuwa Dr. Slaa tayari amerudi kwa magamba. Kwa mara ya pili hila za CCM zinafeli vibaya baaday aile ya Lipumba kushindwa vibaya. Kwa taarifa tu mimi niko mbeya wananchi wameapa kura ni UKAWA tu na wana hasira kweli baad ya kubaini njama za magamba.
 
Josephine ale mihogo? come on doc,,,! Sasa unadhihirisha yule ---- Nape alikutusi kwa haki
 
lowasa kuingia ikulu sahau. tulikuwa tukikuambia kistaarabu naona sasa unajenga kiburi na kuvuka mipaka. mpuuzi kama wewe unaeishi kwa kumtegemea lowasa huwezi kufikiria nje ya box, huwezi kujiuliza haya mahela yote aliyokuwa akiyagawa lowasa aliyatoa wapi na yatarudije? huwezi hata kujiuliza hili genge lote lililonyuma yake linania gani. unaakili za kuendea chooni mpumbavu wewe.

Naona ujumbe umefika mahala pake! Sasa unaanza matusi, Twende Kazi!
 
kwanini slaa hakumshtaki kwa takukuru wakaweka mtego akamatwe. au ni hadith ya kisiasa...
 
Lakini na sisi wanajf bwana tunashangaza sana kwa kuacha kufikiri vyema na kuruhusu akili zetu kuongozwa na ushabiki na mihemko.Lakini na sisi wanajf bwana tunashangaza sana kwa kuacha kufikiri vyema na kuruhusu akili zetu kuongozwa na ushabiki na mihemko. Slaa anatuongopea mchana kweupe tunamshangilia. Yeye ni mwanasheria mzuri tu ni kwanini basi aliziacha taarifa za watu kupewa rushwa akashindwa kuviarifu vyombo vya usalama? Ile ya kwake ya 500milioni kwanini kesho yake au muda uleule asingeutaarifu umma na vyombo husika ili wahusika wawajibishwe?Lakini na sisi wanajf bwana tunashangaza sana kwa kuacha kufikiri vyema na kuruhusu akili zetu kuongozwa na ushabiki na mihemko.Lakini na sisi wanajf bwana tunashangaza sana kwa kuacha kufikiri vyema na kuruhusu akili zetu kuongozwa na ushabiki na mihemko. Slaa anatuongopea mchana kweupe tunamshangilia. Yeye ni mwanasheria mzuri tu ni kwanini basi aliziacha taarifa za watu kupewa rushwa akashindwa kuviarifu vyombo vya usalama? Ile ya kwake ya 500milioni kwanini kesho yake au muda uleule asingeutaarifu umma na vyombo husika ili wahusika wawajibishwe? Ushauri wa bure kwake aache unafiki wa na siasa za majitaka kwani haziendani nae. Waache watu na makapi yao kwani hata wewe ni kapi tena lisilofaa duniani na mbinguni.
 
Dr. Slaa hanunuliki. Kwahiyo usijaribu kuniaminisha huo upuuzi wako!

Ananunulika tu, kama alibadili mawazo ya kumpokea lowassa baada ya kukubali walipokuwa kwenye kamati kuu baada ya mama kumtupia mabegi nje, kwanini asikubali ikiwa mama atamwambia uraisi umekosa, chadema kibarua kimeota nyasi chadema, unategemea watoto watakula nini? Chukua hela la sivyo utafute pa kuenda. Kwanini asichukue hela?
 
Kwa kweli hakuna kipya kama alihusika kumkariribisha na alikuwepo kwenye mjadala wa NEC ya chdm alitakiwa asema hoja hzo cku ile. Na inaonekana kama kuna mkono dhahiri wa ccm kutupa karata zao za kupunguza speed ya upinzani. Nadhani haitakubalika.Gari limeishaondoka na liko speed 200 then dr Slaa analifukuza kwa miguu . Hivyo vithibitisho anavyodai si ni vya tangu 2008 kwanini anavyo tu hadi leo havijapelekwa mahakamani, uzalendo gan huo kama anaipenda nchi yake?
 
Nilicho note ni kuwa ccm imejaa uchafu, halafu ukawa wakaenda kuchota huo uchafu kidogo na kuutumia.Kama dokta bado ana nia njema na nchi hii kwanini amekataa kuwaeleza watanzania mtu sahihi nje ya ukawa na ccm atakayeweza kupambana na mkoloni mweusi?kama hakuridhia mchakato kwanini alikaa kimya mpaka mda huu uchaguzi umefika?kwanini tusiamini kwamba dokta amekengeuka na kuwa msafisha njia wa haohao aliowaita mafisadi? Mbona kadanganya kama kweli yeye bado ni mtu safi? WAtanzania naomba mnijibu hayo kwanza.
 
Ungemsikiliza Dr Slaa tangu anaanza kuhutumia, hi quotation ungefuta. Usijibu hoja kwa story za vijiweni, mbona Dr Slaa aliweka wazi Suala Hilo? Kwani wewe ni Mjinga?

Wewe mwenye akili umehangaika nini kumquote mjinga?
Hiyo hotuba unadhani uliangalia/kusikiliza wewe na mkeo tu chumbani kwenu?
Nenda basi ukanywe chai na huyo Slaa, pia umpe salamu kuwa hajabadili chochote zaidi katutia hasira ya kupigania mabadiliko.
 
katka naelezo ya Dr Slaa anesema aliletewa rushwa ya shilling million 500 mlangoni chaajabu aneshindwa kumtaja alie mletea hizo hela!!!...

Pia najiuliza kama kweli Dr Slaa anachukia rushwa kama anavyo jipambanuwa kwanini Hakuripoti katika mamlaka hulika kama polis au TAKUKURU????

Kwann amekaa kimia toka 2008????
kama ana ushaidi kwa anayo yasema kwanini asiripoti kwa mamlaka zinazo husika ili watuhumiwa wachukuliwe hatuwa?..

Dr Slaa unatufundisha nini hapa?!!!

Nafasi ya urais inamtesa sana Dr.Slaa.
 
TATIZO URAIS...SLAA NAYE AMENUNULIKA...Teh Teh Teh mwanaume unapata wapi ujasiri wa kusema umejengewa nyumba na mwanaume mwenzio na unaishi na mchumba wako humo ndani? Aibu hii kwa slaa.
 
Binafsi namshangaa huyu babu, mbona yeye alipoachishwa UPADRE KANISA KATOLIKI, JE ALITUBU DHAMBI ALIYOIFANYA HADI KUFIKIA HATUA YA KUMUACHISHA UPADRE.

Mimi ni Mkatoliki naelewa kuwa kosa kubwa kwa mapadre kuachishwa / kufukuzwa ni kufumaniwa au kuwa na mwanamke kwani mapadre hawaruhusuwi kuoa. Hivyo Dr. Slaa huenda alikumbana na hii tatizo ndio maana Baraza la Maaskofu wakamuachisha.

Je alitubu hiyo dhambi au leo anaona dhambi ya lowasa na Sumaye suala la ufisadi ndio dhambi kubwa sana.

"Usihukumu usije ukahukumiwa"


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

SLAA AMENUNULIKA,HILO LIPO WAZI,lakini KURA ZETU ZITAENDA PALEPALE KWA LOWASSA.
 
katka naelezo ya Dr Slaa anesema aliletewa rushwa ya shilling million 500 mlangoni chaajabu aneshindwa kumtaja alie mletea hizo hela!!!...

Pia najiuliza kama kweli Dr Slaa anachukia rushwa kama anavyo jipambanuwa kwanini Hakuripoti katika mamlaka hulika kama polis au TAKUKURU????

Kwann amekaa kimia toka 2008????
kama ana ushaidi kwa anayo yasema kwanini asiripoti kwa mamlaka zinazo husika ili watuhumiwa wachukuliwe hatuwa?..

Dr Slaa unatufundisha nini hapa?!!!

Dr anazifahamu izo mamlaka vizurii tuu hata yeye mwenyewe pale alisema TAKUKURU yenyewe inahitaji TAKUKURU nyinginee ya kuichunguzaa..sasa ulitaka akaseme wapi sasa.
Nafahamu kila mtu anatamani kuiona CCM inatoka madarakani (mimi nikiwemo) BUT hiyo sababu isitufanye tusiwe open minded when facts are presented mbele yetuu..
Tunatakiwa tufikirie vitu tunavyoonyeshwa bayana na si kumshambulia na kumkejeli mtu anaetupa UKWEli.
 
Hivi huyu Babu anajua Damage aliyoifanya kwa UKAWA? Amewapa CCM karata ya turufu ili UJANGILI USHAMIRI? UFISADI uongezeke? Mikataba mibovu iongezeke zaidi? ...

Dr, Kiukweli Sijapenda Alichokifanya hii ni Kuididimiza nchi, tunataka tujue uongozi wa ukawa, hawa wengine tayar hawafai. sasa dr. anamshambulia fisadi mmoja kaacha wale 10 kwenye list yake. hii ni wazi kuwa wale ambao hawakutajwa na dr. ndio wamemwezesha kumchana rais mtarajiwa. naomba EL usijibu kitu endelea na kampeni. tunamsubir wazir mkuu wa mwisho hapo tutajua.
 
TATIZO URAIS...SLAA NAYE AMENUNULIKA...Teh Teh Teh mwanaume unapata wapi ujasiri wa kusema umejengewa nyumba na mwanaume mwenzio na unaishi na mchumba wako humo ndani? Aibu hii kwa slaa.

Ukitaka aongope kama nyumba alijenga bila msaada? Ili iweje labda?
 
Mimi nina respond tofauti katika press conference ya Dr. Slaa. Huyu mzee hatakiwi kutukanwa wala hahitaji watu kumkasirikia au kuhamaki ila inabidi tuujue undani wa yeye kuamua kujitoa CHADEMA .
Nionavyo mimi chimbuko la huyu baba kuamua kuondoka CHADEMA ni
1. Kukosa nafasi ya kupeperusha bendera ya UKAWA na hii ni reservation yake ambayo hataki kuisema; huu ni ubinafsi(egotism)
2. Ya pili ni shinikizo kubwa kutoka kwa mchumba wake kwa uamuzi wa kumkaribisha Lowassa na kupelekea kurushiwa vitu nje.


Suala la Richmund limekuwepo siku zote na haliwezi kutumika kama ajenda kuu ya yeye kumkataa Lowassa kwani yeye ndiye aliyekuwa muasisi mkuu wakumshawishi na kumleta Lowassa CHADEMA.

Kinachoonekana hapa ni roho ya KWA NINI, KUMWAGA MBOGA MI KUMWAGA UGALI NA TUKOSE WOTE bila kujali maslahi mapana ya watanzania. Roho hii inapingana na movement ya kuleta mabadiliko ya wote kwani mabadiliko tunayotaka siyo ya Slaa bali ya watanzania woote.
Kutokana na ubinafsi Slaa anataka kurudisha nyuma mabadiliko ya watanzania milioni 48 na sisi tunasema hapana.
Kwa sasa tunasonga mbele na kama kuna kosa limefanyika litasahihishwa bila kusitisha safari ili tufike tunakokwenda kwa spidi tuliyopanga.

Ni udhaifu mkubwa kwa mwanaume ambaye ni kichwa cha nyumba kuruhusu mkewe kumlazimisha kufanya maamuzi kinyume na utashi wake. Hii kitu hata Baba wa Taifa alikataa lakini Slaa ameamua kuwa weak kwa mpenzi wake na kumruhusu kumwaribia political career yake.

Hata sisi tumeoa na tunaishi happily lakini sio kila ushauri wa mkeo au wa meumeo unapokea bali lazima iwepo room ya discussion na siyo kuburuzana. Slaa kama alilala ndani ya gari baada ya kufungiwa nje basi hali yake ilikuwa mbaya na inaonyesha amekuwa akiburuzwa ndani ya nyumba. Hii inanifanya niamini kuwa hata press conference aliyofanya ilikuwa out of the same frustrations.

Hii ndio maana ninasema tumhurumie na tumsamehe kwani hakuna kitu anachofanya kwa utashi wala fahamu zake
 
Back
Top Bottom