Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,242
- 90,420
dah..aisee unataka kunipiga tena best..lol...nasikia unacheza karate ,,nisamehe bhana....mama mzima lkn?Ingekua tunaweza :boxing:chapana ngumi JF :boxing:basi ningeanza na dogo mtu chake LOOL!
Dah watu wana technics, yani wamekuprovoke ili kujaribu stance yako, take care
dah..aisee unataka kunipiga tena best..lol...nasikia unacheza karate ,,nisamehe bhana....mama mzima lkn?
kausha...yule yule wa pande zileeee..ha ha ha..Mama gani unae mzungumzia hapa! neno mama lina tafsiri pana!
hebu muache apumue mama ako mdogo..au kipindi siko ulikua unamzengea nini?Aje kukuchukua atii...hahahah
Jf kweli raha.....haya ngoja mie niangalie kipindi....LOL..
kausha...yule yule wa pande zileeee..
hahahahahahahaaha.... Adrian Stepp umetisha....na nikikukutana pale kona...unisalimie sawaha ha ha..aixee..we jamaa wa ghorofani eeh? umetisha..hahahha u've made my day mkuu..msalimie yule nanihiii wa upanga, hahah
hahahahahaha..bold black...umenichekesha kama unanijua basi na wewe nakujua?...bold ya bluu unamtafutia matatizo huyo dogo...Francis Cheka mwenyewe ananikimbia..labda Sempai GolaHahahah mi namjua size yake ngoja nimwite sasa hivi atatulia huyu...
Nilikua town kwenye mishe mishe..nikapigiwa simu kwamba kuna uzi umeanzisha jukwaa hili..nikafika nikautafuta..sina haja ya kujiuliza na kujijibu maswali eti promo..aina ya kazi yangu nikitaka kujipigia promo si shindwi..si kila mtu anataka sifa kama unavodhani! hua nachukizwa sana na majibu ya aina yako..get busy..fanya yako mzee, si kila uzi lazima uchangie kwa kua upo JF! acha kutumia umeme wa ofisi kufanya umbea..ushamba tu!
hahahahaha...si mzingui bhana...kijana wng huyo...
...Si kila mtu ni Muajiriwa Kijana. Kuna akina sisi ambao ni wakulima tu Shamba huku na kuingia JF ni Burudani tu.
Kwa maneno ya Aina hiyo uliyotumia ambayo kwa uelewa wangu hutumiwa na waimbaji wa Mipasho na 'Vidole Juu' tu inaonyesha jinsi ulivyoguswa na jinsi usivyoweza kuhimili critism.
Kwa majibu ya Aina ya Uliyoandika itakuchukua muda mrefu sana kufikia Sifa ambazo umejipigia Promo kuwa nazo na hii ni kama pia Muajiri wako bado atakuwa tayari kuendelea na mfanyakazi ambaye yuko sooo quick to throw words at someone ambaye wametofautiana naye kiddogo tu!!!
Lastly, ulilitafakari hilo neno la kwanza kabisa la mchango wangu la 'Labda'????
Ubarikiwe.🙂
hahahahahahahaaha.... Adrian Stepp umetisha....na nikikukutana pale kona...unisalimie sawa