MM, strategically Nashera imejitangaza sana, hakuna mtu asiyeijua kwa sasa labla wale wasiofuatilia news, but ingekuwa ni very positive kama wangesema ukweli kuwa wizi kama huo uliotolewa maelezo na Malima hauwezi kutokea katika Hotel hiyo, pasi na Mteja kuingia na mwizi chumbani. Hiyo ingekuwa ni PR nzuri.
Kwa kukubali kuficha ukweli Nashera Imepata NEGATIVE PR. Ni mwendawazimu pekee kati ya watu wanaojali usalama wao atakayeweza kulala usingizi wa kujiamini hotelini hapo. Katika dunia hii ya utandawazi dunia nzima imejua kuwa NASHERA MOROGORO is not safe place to sleep.
Wamekosea sana kumlinda Malima kwa kumkingia risasi kwa mgongo wao. Ni bora wangekaa kimya na kutumia polisi kumtafuta huyo dada aliyechoropoka na vifaa vya Malima, kwani nina hakika atakuwa alikuwa hamjui kama ni Naibu waziri, angejua asingemuibia. Polisi wanajua machangu wote na ndiyo mana wamevipata vitu hivyo vyote na kumwacha Malima akichekelea while NASHERA IS BREEDING for NEGATIVE RATINGS.
Kwa kukubali kuficha ukweli Nashera Imepata NEGATIVE PR. Ni mwendawazimu pekee kati ya watu wanaojali usalama wao atakayeweza kulala usingizi wa kujiamini hotelini hapo. Katika dunia hii ya utandawazi dunia nzima imejua kuwa NASHERA MOROGORO is not safe place to sleep.
Wamekosea sana kumlinda Malima kwa kumkingia risasi kwa mgongo wao. Ni bora wangekaa kimya na kutumia polisi kumtafuta huyo dada aliyechoropoka na vifaa vya Malima, kwani nina hakika atakuwa alikuwa hamjui kama ni Naibu waziri, angejua asingemuibia. Polisi wanajua machangu wote na ndiyo mana wamevipata vitu hivyo vyote na kumwacha Malima akichekelea while NASHERA IS BREEDING for NEGATIVE RATINGS.